Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hasomekiiii


Yaaan sijui binamu alivoenda kwa mganga alimwambia havuruge couple za humu zote ili yeye ashaaaainiiii ....

Binamu wewe kibokoo


Ha ahhahahaha, umenikosa leo, aunt yangu anamwambia Nyagei kamfanyaje Linamo , kwanini hasomeki.

Mimi sihusiki na mambo ya waganga, unadhani ile safari nikiendekeza uganga ntaenda!?
 
9/Elephant
0f056c2e8c43a1233586422b6ebb167d.jpg
2ac5d3fbd52b020e0fb88315069fa6df.jpg

Ndiye mnyama mkubwa zaidi wa nchi kavu uzito wake huweza kufikia tani 6 na ushee
Silaha yake kuu ni trunk kwa kiswahili nasikia ni mkonga....huutumia kuangusha mito,magari n.k kwake huu ndo kama mkono
Pia anatumia miguu yake kudhuru watu/wanyama yaani akikukanyaga ndani ya dakika sifuri unavunjika mbavu na kujinyea
Uzito wake mkubwa nao ni silaha
Ukipita Mikumi na gari lako punguza mbwembwe ana uwezo wa kulipindua,kulinyanyua na kulipondaponda au kulikanyaga likawa kama chapati za Mama Said
....
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom