Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Cape Buffalo
176a164a93a4a79fb6f3aef34289a6b2.jpg
05ea76b7e280ad66a230874703ce20b6.jpg

Usimdharau nyati eti kwavile tu umezoea kuichezea shilingi 500 elewa tu ni picha ila ukikutana nae porini mnyama anatisha huyu na utajisaidia haja ndogo bila kupenda
Nyati anatumia pembe kufanya ujeuri ....ni zaidi ya ng'ombe achilia mbali mbwembwe za kondoo
Pia nyati wana umoja hivyo elewa ukimshinda mmoja wanakuja kumi
4adac654faa441de94fdb183f78a0bd4.jpg

Kazi ipo !!!
.......
Hatari sana
 
9/Elephant
0f056c2e8c43a1233586422b6ebb167d.jpg
2ac5d3fbd52b020e0fb88315069fa6df.jpg

Ndiye mnyama mkubwa zaidi wa nchi kavu uzito wake huweza kufikia tani 6 na ushee
Silaha yake kuu ni trunk kwa kiswahili nasikia ni mkonga....huutumia kuangusha mito,magari n.k kwake huu ndo kama mkono
Pia anatumia miguu yake kudhuru watu/wanyama yaani akikukanyaga ndani ya dakika sifuri unavunjika mbavu na kujinyea
Uzito wake mkubwa nao ni silaha
Ukipita Mikumi na gari lako punguza mbwembwe ana uwezo wa kulipindua,kulinyanyua na kulipondaponda au kulikanyaga likawa kama chapati za Mama Said
....
Duh, hatari sana.

Japokuwa anko wangu alitembeaga na mama Said mpika chapati ambaye ni bonge kama tembo lakini hakupondwapondwa. Si eti anko?
 
Unajua anaenda wapi? Utalipuka roho wewe, huko anakoenda ni kwa teller , anaenda kuomba samahani kwa kumnunulia Brazilian wig badala ya shela eti waende bomani.

Nimekupa taarifa sema asante.
Bado unataka kumsindikiza?
Lakini kule tunashuuutiiii moviee...si nilikwambiaa dili la kuigiza kaole limetikiii

Wacha nifaidiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom