Makapuku Forum

Makapuku Forum

....hata kwa mama Said yule mpika chapati bonge bonge waiti uko tayari. Maana huyu waiti ni mrembo na ni fundi kweli sina hakika anatokea wilaya gani tanga. Si unajua mimi mgeni humu sijui mengi
Kote nitamsindikiza binamu yangu usijal
 
5/Hippo
6e2c677f3423f40224a05c0d98aacd9a.jpg
bb29862cebd2e33e2bd816af1509f274.jpg

Kiuhalisia kiboko ni herbivorous yaani anakula majani kama ng'ombe tu ila mara kibao tu keshabambwa akijichana na kitoweo a.k.a nyama
Wanapatikana kwa wingi barani Afrika ambayo huotwapia River horse yaani farasi wa mtoni
Silaha yake kuu ni meno(jaw) na Mara kibao hujeruhi na kuua watu
.....
 
...kwa kweli anko wangu umenifumbua macho, yaani nafurahia kuwa na wewe anko, umenifungua macho. Yaani naiona talaka inaniita kwa furaha.
Sasa nifanyeje anko, si unajua wewe ndo mshauri wangu mkuu ninayekutegemea
Uachweeee tu hakuna namna binamu
 
Baba D acha uchochezi


Mjomba wangu sio mchochezi, mimi kwa vitumbua kwa kweli utanisema tu vibaya, navipenda kweli kweli, tena wakivitia na mayai basi ni kujinoma kutwa mara tatu. Sisi watu wa mchele tunajijua, asubuhi vitumbua, mchana biriani na usiku wali nazi. Asubuhi tunapasha kipora
😀
 
Hivi upo upande upi binamu jamaan kwa mpendwa wako au kwa mama mchuchu

...yaani nitakuapa majibu kama ya Yesu, .....ya kaisari...na ya Mungu ..... Jiongeze, wengine tuko tofauti mama ni mmoja tu baba mbalimbali
 
Mjomba wangu sio mchochezi, mimi kwa vitumbua kwa kweli utanisema tu vibaya, navipenda kweli kweli, tena wakivitia na mayai basi ni kujinoma kutwa mara tatu. Sisi watu wa mchele tunajijua, asubuhi vitumbua, mchana biriani na usiku wali nazi. Asubuhi tunapasha kipora
😀
Hapo kwa ras simba binamu ndio penye uchochezi ujue
 
4/African Lion
13aa6689e343726ea9460e250fb73ea5.jpg
bfc89e7898d21d6c0144c9663c23dc6e.jpg
7738563a3808b73b191027147a85e8b9.jpg

Simba mnyama anatisha ....achana na yule mchovu wa pale Msimbazi anayesumbuliwa na Vyura
Silaha yake kubwa ni kasi,mbinu na meno makali
Kitu kibaya zaidi ni kwamba huku Bongo kuna simba hukaa hadi juu ya miti
......
 
Ninafurahi umekuja salama, vipi una mpenzi?


Taarifa: Hili swali sijauliza mimi, msije mkaanza maneno yenu ya kuniharibia masuala yangu muhimu. Sasa hivi niko mahakamani naapa kuwa sijauliza mimi
Ana mume huyo binamu humu anaitwa Bailly5
 
Kwa nn talaka?? Kaeni muyamalize msiachane

Madame S


...,hakuna shida kati yetu, talaka nilikuwa naiongelea ya mjomba wangu anataka kupewa talaka. mimi penzi bado jipya sana yaani tunaitana honey na sweet , mara sugar , dearest na mengine kama hayo, tukianza kuitana majina yetu ya kuzaliwa ujue talaka inakaribia
 
Kuna ukweli wowote juu ya Papa akiona viganja na unyayo hakuachi?


...sijui kama ni kweli, na wengine wanasemaga eti ukiogelea uchi kabisa (skin dive) huyu papa anabaki kukushangaa tu anaanza kutafuta kioo na yeye ajiangalie kama mnafanana. Haya ni maswali huwa tunaulizana kwenye kahawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom