Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Ahahha jitahidi shem nakuona unavyotesekaBado
Ahahha jitahidi shem nakuona unavyotesekaBado
Kote nitamsindikiza binamu yangu usijal....hata kwa mama Said yule mpika chapati bonge bonge waiti uko tayari. Maana huyu waiti ni mrembo na ni fundi kweli sina hakika anatokea wilaya gani tanga. Si unajua mimi mgeni humu sijui mengi
Oh, ile movie kumbe imetiki. Sasa si uniite nami hata niuze nyago tu kidogo naact kama mpitanjia






Ni vituko tu vya wanaJfKuna thread nilisoma et ukitaka kujihami unapokutana na tembo umfunike koti nikawaza huo muda wa kumfunika nautoa wapi
Madame S
Uachweeee tu hakuna namna binamu...kwa kweli anko wangu umenifumbua macho, yaani nafurahia kuwa na wewe anko, umenifungua macho. Yaani naiona talaka inaniita kwa furaha.
Sasa nifanyeje anko, si unajua wewe ndo mshauri wangu mkuu ninayekutegemea
Nilizipata dia ubarikiwe sanaOhh!! Asante kama salam zangu umezipata
Madame S
Baba D acha uchochezi
Hivi upo upande upi binamu jamaan kwa mpendwa wako au kwa mama mchuchu
Hapo kwa ras simba binamu ndio penye uchochezi ujueMjomba wangu sio mchochezi, mimi kwa vitumbua kwa kweli utanisema tu vibaya, navipenda kweli kweli, tena wakivitia na mayai basi ni kujinoma kutwa mara tatu. Sisi watu wa mchele tunajijua, asubuhi vitumbua, mchana biriani na usiku wali nazi. Asubuhi tunapasha kipora
😀
Sawa binamu...yaani nitakuapa majibu kama ya Yesu, .....ya kaisari...na ya Mungu ..... Jiongeze, wengine tuko tofauti mama ni mmoja tu baba mbalimbali
Aisee huo sio ushauriKuna thread nilisoma et ukitaka kujihami unapokutana na tembo umfunike koti nikawaza huo muda wa kumfunika nautoa wapi
Madame S
nimefurahi kuwakuta salama
Madame S
Ana mume huyo binamu humu anaitwa Bailly5Ninafurahi umekuja salama, vipi una mpenzi?
Taarifa: Hili swali sijauliza mimi, msije mkaanza maneno yenu ya kuniharibia masuala yangu muhimu. Sasa hivi niko mahakamani naapa kuwa sijauliza mimi
Kwa nn talaka?? Kaeni muyamalize msiachane
Madame S
Kuna ukweli wowote juu ya Papa akiona viganja na unyayo hakuachi?