Makapuku Forum

Makapuku Forum

...,hakuna shida kati yetu, talaka nilikuwa naiongelea ya mjomba wangu anataka kupewa talaka. mimi penzi bado jipya sana yaani tunaitana honey na sweet , mara sugar , dearest na mengine kama hayo, tukianza kuitana majina yetu ya kuzaliwa ujue talaka inakaribia
Mjomba wako anataka kupewa talaka na nani binamu
 
5/Hippo
6e2c677f3423f40224a05c0d98aacd9a.jpg
bb29862cebd2e33e2bd816af1509f274.jpg

Kiuhalisia kiboko ni herbivorous yaani anakula majani kama ng'ombe tu ila mara kibao tu keshabambwa akijichana na kitoweo a.k.a nyama
Wanapatikana kwa wingi barani Afrika ambayo huotwapia River horse yaani farasi wa mtoni
Silaha yake kuu ni meno(jaw) na Mara kibao hujeruhi na kuua watu
.....


Aisee nimecheka sana namna ulivyowasilisha hii taarifa basi nikaangalia na picha yaani hapa hadi wanashangaa wanajua labda nimeshukiwa na malaika
 
...,hakuna shida kati yetu, talaka nilikuwa naiongelea ya mjomba wangu anataka kupewa talaka. mimi penzi bado jipya sana yaani tunaitana honey na sweet , mara sugar , dearest na mengine kama hayo, tukianza kuitana majina yetu ya kuzaliwa ujue talaka inakaribia
sawa bana nimekuelewa

Madame S
 
5/Hippo
6e2c677f3423f40224a05c0d98aacd9a.jpg
bb29862cebd2e33e2bd816af1509f274.jpg

Kiuhalisia kiboko ni herbivorous yaani anakula majani kama ng'ombe tu ila mara kibao tu keshabambwa akijichana na kitoweo a.k.a nyama
Wanapatikana kwa wingi barani Afrika ambayo huotwapia River horse yaani farasi wa mtoni
Silaha yake kuu ni meno(jaw) na Mara kibao hujeruhi na kuua watu
.....
Kutokana na kuwa na miguu mifupi kwenye matuta hawezi kukukimbiza kama kwenye tambarale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom