Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
WalaaaaBaba D ebu acha uchochezi jaman
WalaaaaBaba D ebu acha uchochezi jaman
Hasomekiiii
Yaaan sijui binamu alivoenda kwa mganga alimwambia havuruge couple za humu zote ili yeye ashaaaainiiii ....
Binamu wewe kibokoo





cuzoo mpaka ananikwepa akiii sijui nyagei kamfanyaje cuzoo wangu
Huo wa kummiss si uchochezi jamaanWalaaaa
Husna leo kama hajaenda mtwara sijuicuzoo mpaka ananikwepa akiii sijui nyagei kamfanyaje cuzoo wangu
NimeulizaaHuo wa kummiss si uchochezi jamaan
Binamu ebu ukuje ujibu hapaHusna leo kama hajaenda mtwara sijui
Sijammiss Baba DNimeulizaa
Unataka kunichonganishaaaBinamu ebu ukuje ujibu hapa
OooooooouuuuuuukeeeeeiiiiiSijammiss Baba D
Nimemuita tu jamaan aje kujibu tuUnataka kunichonganishaaa
Bhasi nikuombe binamu ana deko atanisusiaa kunisindikizaNimemuita tu jamaan aje kujibu tu
Akisusa nitakusindikiza mimi jamaan Baba DBhasi nikuombe binamu ana deko atanisusiaa kunisindikiza
Kuna maeneo mengine yeye ndo yanamfaaaAkisusa nitakusindikiza mimi jamaan Baba D

Leo katika Historia
1918 - Ni siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela.
Rais wa kwanza wa Afrika ya Kusini.
Wamependeza na rangi zao10/Poison Dart Frog![]()
![]()
Ana rangi mbalimbali za kuvutia wapo wa zambarau,wekundu,kijani n.k
Wanapatikana huko Amerika Kusini na pia Amerika ya kati
Hapa nazingumzia chura mtemi haswa japo ana umbo dpgo kati ya am 1.5 hadi 6....Kama umezoea kuwapigapiga teke vyura wazembe wazembe kitaani kwenu basi ukienda huko Amerika Kusini chunga sana la sivyo utaumia
Silaha take kuu ni sumu iliyo mwilini mwake yaani anatema sumu pia nafikiri ngozi yake nayo majanga
.....
Hivyo hivyo Baba D nitakusindikiza tuKuna maeneo mengine yeye ndo yanamfaaa![]()
![]()
![]()
Asante mdau, Mandela ni rais wa kwanza SA post-apartheid era. Alitanguliwa na marais wengine baada ya Uhuru na hadi mabadiliko ya 1994 aliposhika urais.
Nimeongezea tu hapo. HBD Madiba

Kweliiii???Hivyo hivyo Baba D nitakusindikiza tu