Makapuku Forum

Asante Bitoz kwa kubwa kulikoo ...tumejifunza mengii na kujua kipi ni kipi kati ya nile na Amazon....tukimsubiria binamu alewe kidogo ili atupandishie song ebu tupate kionjo ....

Don't mess with kansiime. ...

Kuna ubishi mkubwa jinsi ya kuujua ni mto upi mkubwa kati yao
Hata tu kwa urefu wa kawaida
Wapo wanaosema ni Nile badala ya Amazon
Ila kwa upana mto Amazon ni mkubwa
Kwa kimo na ujazo pia ni mkubwa
Hivyo kwa vigezo vyote mto Amazon ni balaa
......
 
Na Brazil ndio nchi yenye mito mingi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…