Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa amepigwa picha kwenye Instagram akiwa amevaa jezi ya Atletico Marid na kuandika “mpe salaam zangu Conte”. (Mail)
 
Chelsea wanataka kumsajili mshambuliaji wa Borussia Dortmund Pierre Emerick-Aubameyang, 28, baada ya kumkosa Romelu Lukaku, 24. (Sky)
 
Chelsea wameonywa na Borussia Dortmund kuwa wana wiki moja tu ya kumsajili Pierre Emerick-Aubameyang. (The Sun
 
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anadhani kuwa ataweza kumshawishi Alexis Sanchez, kutoondoka Emirates. (Mirror
 
Arsene Wenger amekata tama ya kumsajili Kylian Mbappe, 18, na badala yake sasa anaelekeza nguvu katika kumsajili Thomas Lemar, 21, kutoka Monaco. (Telegraph)
 
Arsenal pia wanafikiria kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata, kuziba nafasi ya Alexis Sanchez ikiwa ataondoka. (Don Balon)
 
Chelsea wapo tayari kumpa mkataba wa miaka mitano winga wa Atletico Madrid Yannick Carasco, 23. (Don Balon)
 
5fc97486d016e0d16e3ed2d75a143fbf.jpg
0c5787d082bceb70ae9a16e6fff91c19.jpg
b86fdb6fb9a43ccfcb7bbd7deaca8797.jpg

Ni beki kipande cha mtu ....kwa umbo na sura kafanana na Jan Kohler wa Jamhuri ya Czech
Alishinda mataji matatu mwaka 1999 na kuwa kwenye kikosi cha kihistoria
Kosa pekee alilofanya likamgaharimu ni kutaka kushindana na babu SAF matokeo yake akauzwa kama mbwa !!
Sikio halizidi kichwa
.......
Babu alikuwa kauzu sana aisee
 
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho anataka Toni Kroos, 27, kuwa sehemu ya mkataba wowote utakaomhusisha David de Gea kwenda Real Madrid. (Sun)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom