shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sasa yeye analalamika huitikie, wakati vijana wa sirro wapo kaziniTeh teh utasababisha nisisalimiwe tena

Sasa yeye analalamika huitikie, wakati vijana wa sirro wapo kaziniTeh teh utasababisha nisisalimiwe tena

Umeona mbali sijui kama ataelewaSasa yeye analalamika huitikie, wakati vijana wa sirro wapo kazini![]()
![]()
![]()
Pamoja sana mdauWoiiiii husna upooo mpendwa wa binamu
Asante sana Bitoz
Pamoja sana mdauWoiiiii husna upooo mpendwa wa binamu
Asante sana Bitoz
Ni kifupisho cha BitoziNimekuelewa Bitoz...
Then neni Tozy lina maana gani?
Huo ugonjwa hauna tibaKuumbe!!!! Kuna watu nawaonaga hata mtaani huku km wameungua moto vilee kumbe ni huo ugonjwa!!!
Ila muhimu ni kujikubali tu basi
FaizerFix mbona anaingiaga humu mdau na kukomenti inapobidiHuu ujumbe ni kwa wale wanasoma comments za Kapuku forum kimya kimya.
Karibuni sana kapuku..sie hatuna ubaguzi huku..
Karibuni sana, muache uoga wa kusoma tuu na kupita..
Hata wewe unayesoma kwenye browser , log in ...tia comment ! Sema hata hi..
Hii na kwa Manga ML na wengine woooooooooote mnaosoma posts za Kapuku forum kimya kimya
Cc
faiza Foxy
Mamndenyi
Mgahawa wako huu hapa wewe jamaa..FaizerFix mbona anaingiaga humu mdau na kukomenti inapobidi
Yule bibi ashawahi kusema anatukubali na akija huwa tunataniana nae tu
Mod Paw,Bridger nap washaingia humu
The Bold & Ontario keshaingia na kukoment na kutupa 5
Mkubwa Max nae aligonga like
Ungabure keshaingia mara kibao kutukana kwa kiingereza
Mchawi Jr zamani keshapodlst zaidi ya X 50
Nani mwingine bado?,
.........




YeahNa jua ni 24 hrs au bado
Mbona mapema hivyo? Usiku mwemaUsiku mwema wakuu
Kubusu uwepo wa MussolinTeh teh utasababisha nisisalimiwe tena
Ni sheederTeh teh mzigo tena
Kwangu ni Ngwair,2pac,Bob Marley & Wacko JackoKwangu huyu ni mwanamuziki bora wakati wote.
Nampenda sana
Mi pia napenda sana muziki tena wa aina zoteKaribu Jimena, binafsi napenda muziki.
We ni mzalendo ndio maana hadi Ngwair kaingia hapoKwangu ni Ngwair,2pac,Bob Marley & Wacko Jacko
Kina Kiba na Mond wafanyabiashara tu
......
Majukumu tuu mkuuMbona mapema hivyo? Usiku mwema
Kwa Ngwair huniambii kitu ngoja nijilaze kwenye Ghetto LanguWe ni mzalendo ndio maana hadi Ngwair kaingia hapo