Makapuku Forum

Makapuku Forum

1 The Beatles
41d45aab1e783eb59462cf2835012c42.jpg
b2fdbe8959c5c5a54371253fa4134e13.jpg
74b96ef366c03638abad8e96473aba6c.jpg

Ndo waasisi wa neno Bitozi ukipenda Tozy
Ni vijana watanashati wa zama zile hivyo kutokana na mvuto wao vijana wakawaiga na hapo sasa kila mtu akawa Bitozi
Walitamba vilivyo enzi zao na vibao kama Hey Jude ila mimi nasema Hey Husna
Nyimbo nyingine ni Don't Let Me Down na Yesterday
Walitoa albamu matata ambayo inashikilia rekodi ya mauzo hadi leo
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie week end njema
Tukutane Jumatatu
...........
Nimekuelewa Bitoz...

Then neni Tozy lina maana gani?
 
Muziki: Usile Nyama Mwisho

Ni siku nzuri leo, ukiwa huamini sio tatizo langu maana kuamini ni moja na kukubali ni jambo jingine. Nilicho na uhakika nacho ni kuwa wewe kapuku mheshimika uko hapa na unalifanya jukwaa letu kuwa ni mahali pazuri pa kukutana na kubadilishana mawili matatu. uzuri kila mmoja kula kwake kwa hiyo hata mwenye njaa inabaki kuwa ni ishu yake binafsi Ile kapuku hotel, it's a virtual hotel.

Furahiday leo, ni siku njema kabisa na ni mwendo kula na kunywa vizuri, usishangae pilau hupikwa katika majumba mengi. na kwa tabia ya ajabu kabisa na inayovutia ni kitendo cha wakati wa kula, nyama huliwa mwisho. yaani unatunza nyama hadi unapokaribia kumaliza kupiga mpunga ndo unaanza kula nyama. Ha hahahaha, sijui nimekumbuka nini kuhusu hili.

Leo tuwapongeze Mndali ndanyelakakomu na demi kwa kutuchangamsha jukwaani kwa penseli na kuchunga mbuzi huku mmoja akikataa kuwa buzi, you guys are awesome. Yote kwa yote sijawaona Mkushi wa kusi , BlessedHope na wadau wengine, fikisha salamu kwao kuwa wanamisika hapa, ila kwa kuwa wewe upo hakijaharibika kitu.

Muziki sasa, hivi unajua kuna wanamuziki wa Kiafrica ambao huhitaji nguvu sana kuwaongelea, yaani kazi zao zinawatambulisha, ukiwasikia tu unajua huu mziki wa kipekee ni wa sehemu fulani. Wasikilize Mahotella Queens, utajua hawa ni wa SA, msikize Ndour Youso, na zaidi msikize Angelique Kidjo.

Mshindi huyu wa tuzo za Grammy ni mBenin anayefanya muziki wake kiuasili akiuboresha kukuvutia, ni mwanaharakati wa kimataifa na zaidi ni mwanadada anayeamini kuwa urembo anao kila mwanamke na wala hahitaji kujiweka utupu kila wakati. Kwa hisani ya Jimena muite Jimena Jimenes (sounds Spanish) basi burudika. Kidjo kishaimba na kina Keys, Bono, Ziggy na wengi wa kimataifa na kufanya cover ya nyimbo za Bob Marley, Makeba




Hapa akifanya cover ya Malaika




uwe na wikend njema Kapuku mwenzangu
 
Usimhukumu
Alikuwa anasumbuliwa na Vitiligo ni ugonjwa usio na tiba ndo sababu mkononi alivaa glovu ili kuficha ila watu mlidhani ni staili na kuiga
Aliijichukia sababu nyingine ni kutaniwa tangu utotoni na kutukanwa na dingi yake eti ana lipua likubwa km nguruwe matokeo yake akaamua yale mliyoyaona
002f9872774bce1ede4341a186f7cb73.jpg
Huyu ni model huko Marekani amejikubali na kuwa nfano na anapiga pesa

Ni ugonjwa usioua wala kuwasha pengine kuuma ila ubadili rangi ya ngozi
.......
Kuumbe!!!! Kuna watu nawaonaga hata mtaani huku km wameungua moto vilee kumbe ni huo ugonjwa!!!

Ila muhimu ni kujikubali tu basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom