Makapuku Forum

Makapuku Forum

KUMBUKUMBU.

Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .
7b6caf81a5213a181b6418b634304896.jpg
Huu mzigo ni hatariii
 
59968529bb2ea744c6cb9cd41cfb0a17.jpg

Mazishi ya Bradley Lowery: Maelfu wafika kumuaga shabiki aliyegusa nyoyo za wengi....
0c095dcdc693f0babcda1fbe274987b6.jpg


.........Maelfu ya watu walijitokeza katika barabara za kuelekea nyumbani kwa Bradley Lowery, shabiki wa klabu ya Sunderland FC ya Uingereza, kutoa heshima zao za mwisho.
8608dcdac77623916a8ca2ba1b8fbb31.jpg

..
e2f6d820d6ff9e2e417b847bdd7e9240.jpg



Ibada ya wafu ilifanyika katika kanisa la Mtakatifu Yusufu kijijini mwao, wengi wakimsifu sana mvulana huyo kwa ukakamavu wake na sifa alizojilimbikizia....

Maandamano yalikuwa sio ya nchii hiii..

14492047b3545395f6f809e808daedde.jpg


Jermain Defoe aliyeonekana kutekwa na hisia, alikuwa amevalia jezi ya England yenye jina la Bradley

40190d2b8cc62cabb2aa3d941cbf2ff0.jpg



Meneja wa zamani wa Sunderland David Moyes alikuwa miongoni mwa watu mashuhuri katika soka waliohudhuria mazishin hayo

5c879449ddc734e6df0cd03fdefd2777.jpg


e5ca055308d2786c060b1162ecf7b1dc.jpg


Barabara za kuelekea kanisa la Mtakatifu Yusufu zilipambwa kwa puto na mabango yenye ujumbe wa kutoa heshima kwa Lowery.
3c45673f392ae31341f5f539579c33f5.jpg

Wengine waliacha ujumbe nje ya uwanja wa Sunderland wa Stadium of Light.

Waombolezaji walifika kwa wingi kanisani, hivi kwamba wengine walikaa nje.

Jamaa za Bradley walivalia jezi za soka, kukumbuka upendo aliokuwa nao kwa mchezo huo.
e34b88fa55290e51f2af8dff706e057f.jpg


Mamake Gemma aliambia waliohudhuria mazishi hayo: "Alikuwa na tabasamu kubwa na la kupendeza hivi kwamba lilikuwa lingeangaza chumba chochote kile. Ni shujaa mwenye ujasiri, ametuacha.

"Aligusa nyoyo za wengi - aliwatia moyo watu wengi. Mwana wetu mpendwa, ndugu - nyota ya kupendeza.

"Ingawa wakati uliokuwa nasi ulikuwa mfupi, ni lazima una kazi ya kufanya huko mbinguni na malaika kwani Mungu amekuchagua wewe.

"Kwa sasa, mtoto wangu kwaheri, Hatu tutakapoonana tena shujaa wetu huko juu mbinguni."...

Ila kiukweli watu wameonesha upendo wa kiwango cha hali ya juu....zicheki picha watu walivoamua kufanya. .

Karibia kila barabara mtaani zilitumdikwa pichaa.
8191e8423d8bf62c0a5b906110d55493.jpg

0e74e7b03aace13524ce2e360d3d2ef0.jpg
...moyes alikuwepooo

upendo uliojeee.....

7a3808aacc24c07e6491e17288571fe8.jpg


1adad173f0fa14e6481ce54d0526d1c3.jpg
76962ae5f02342f886374effd96fb2c2.jpg


Pumzika kwa amani kipenzi chetu....
R I P Bradley
Asante kwa hicho kipindi kifupi ulichokuwa pamoja nasi. Kumbukumbu yako itabakia nasi daima... Gone too soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom