Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama kawaida fakalava ni mtu wa burudani.

Miaka ya 80' kwenda 90's muziki wa Raggamuffin ulichukua kasi yake, vijana wengi hasa Wajamaica walianza kuuimba lakini kuna baadhi yao waliitwa vichaa wa Raggamuffin.

Shabalanks



Buju Banton



Been Man





Shaggy

 
5/The Rolling Stones
aa2cabb86ca5f612f5562a9916ed8e0e.jpg
bfbba73e40405a284ef2f951453c9403.jpg
27cfcd7518d5c19690631fc61c394a99.jpg

Hili kundi kweli lilikuwa jiwe haswa
Lilianzishwa mnamo mwaka 1962 huko kwa Malkia jijini London
Liliundwa na masela takribani wanne ila maarufu zaidi ni Mick Jagger
Wameimba byimbo kama vile Paint It Black,Angie na Wild Horses
Tamasha lao lijulikanalo kama A Bigger Bang Tour limwweka rekodi ya kuwa tamasha la pili kwa mupiga mpunga mrefu wa Takribani USD 550,000,000
........
 
KUMBUKUMBU.

Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .
7b6caf81a5213a181b6418b634304896.jpg
 
4/Wolfgang Mozart
86b775f60cbf36837a7109c1e733e8d8.jpg
40aaa2bb3fe6fbfd60233fa2a337ac9d.jpg

Huyu alikuwa ni mpiga kinanda sijui piano wa karne ya 18
Alizaliwa mwaka 1756 na kufariki dunia 1791
Jamaa alianza kuandika composition akiwa na umri wa miaka minne tu yaani alianza kujua kuabdika vizuri kuliko kuoga
Tafuta vutu vinavyoitwa The Magic Flute na The Marriage Of Figaro
....
 
KUMBUKUMBU.

Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .
7b6caf81a5213a181b6418b634304896.jpg
b37c5c451dff00b1b1905ffcb520102f.jpg
454d142554bee5ca9a04b60f73e91acf.jpg

Wazungu walipomuja Sauzi walishangaa kuwaona dada na mama zetu walivyojaliwa makalio
Sasa walivyo washenzi wakamchukua Sarah pamoja na mwenzie mmoja au wawili ili kuwapeleka huko Ulaya na wenzao wafaidi
Inaaminika bdiyo mwanamkw mwenye makalio makubwa na uke wenye mashavu makubwa zaidi kuwahi kutokea
Muvi kibao zimechezwa kumuhusu bila kusahau vitabu
......
 
59968529bb2ea744c6cb9cd41cfb0a17.jpg

Mazishi ya Bradley Lowery: Maelfu wafika kumuaga shabiki aliyegusa nyoyo za wengi....
0c095dcdc693f0babcda1fbe274987b6.jpg


.........Maelfu ya watu walijitokeza katika barabara za kuelekea nyumbani kwa Bradley Lowery, shabiki wa klabu ya Sunderland FC ya Uingereza, kutoa heshima zao za mwisho.
8608dcdac77623916a8ca2ba1b8fbb31.jpg

..
e2f6d820d6ff9e2e417b847bdd7e9240.jpg



Ibada ya wafu ilifanyika katika kanisa la Mtakatifu Yusufu kijijini mwao, wengi wakimsifu sana mvulana huyo kwa ukakamavu wake na sifa alizojilimbikizia....

Maandamano yalikuwa sio ya nchii hiii..

14492047b3545395f6f809e808daedde.jpg


Jermain Defoe aliyeonekana kutekwa na hisia, alikuwa amevalia jezi ya England yenye jina la Bradley

40190d2b8cc62cabb2aa3d941cbf2ff0.jpg



Meneja wa zamani wa Sunderland David Moyes alikuwa miongoni mwa watu mashuhuri katika soka waliohudhuria mazishin hayo

5c879449ddc734e6df0cd03fdefd2777.jpg


e5ca055308d2786c060b1162ecf7b1dc.jpg


Barabara za kuelekea kanisa la Mtakatifu Yusufu zilipambwa kwa puto na mabango yenye ujumbe wa kutoa heshima kwa Lowery.
3c45673f392ae31341f5f539579c33f5.jpg

Wengine waliacha ujumbe nje ya uwanja wa Sunderland wa Stadium of Light.

Waombolezaji walifika kwa wingi kanisani, hivi kwamba wengine walikaa nje.

Jamaa za Bradley walivalia jezi za soka, kukumbuka upendo aliokuwa nao kwa mchezo huo.
e34b88fa55290e51f2af8dff706e057f.jpg


Mamake Gemma aliambia waliohudhuria mazishi hayo: "Alikuwa na tabasamu kubwa na la kupendeza hivi kwamba lilikuwa lingeangaza chumba chochote kile. Ni shujaa mwenye ujasiri, ametuacha.

"Aligusa nyoyo za wengi - aliwatia moyo watu wengi. Mwana wetu mpendwa, ndugu - nyota ya kupendeza.

"Ingawa wakati uliokuwa nasi ulikuwa mfupi, ni lazima una kazi ya kufanya huko mbinguni na malaika kwani Mungu amekuchagua wewe.

"Kwa sasa, mtoto wangu kwaheri, Hatu tutakapoonana tena shujaa wetu huko juu mbinguni."...

Ila kiukweli watu wameonesha upendo wa kiwango cha hali ya juu....zicheki picha watu walivoamua kufanya. .

Karibia kila barabara mtaani zilitumdikwa pichaa.
8191e8423d8bf62c0a5b906110d55493.jpg

0e74e7b03aace13524ce2e360d3d2ef0.jpg
...moyes alikuwepooo

upendo uliojeee.....

7a3808aacc24c07e6491e17288571fe8.jpg


1adad173f0fa14e6481ce54d0526d1c3.jpg
76962ae5f02342f886374effd96fb2c2.jpg


Pumzika kwa amani kipenzi chetu....
Da aiseee so sad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom