Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Unampenda mwanamuziki gani?
Mimi kwa bongo namkubali Albert Mangwea a.k.a Ngwair mzee waDakika 3 na kama vipi msikilize kwenye Mitungi,blant,mikasi naamini jamaa ni zaidi ya Kiba na Diamond ila hakuwa na nidhamu ya kukitumia kipaji alochojaaliwa na Mwenyezi Mungu mwisho akafa akiwa teja na maskini
Kwa mamtoni huniambii kitu kwa 20ac Umar Shakur huyu wimbo ambao umenigusa ni Dear Mama wengine ni Michael Jackson mzee wa Thriller bila kumsahau mfalme wangu wa muda woteBob Marley na song lake la I'll shot a shariff....twende sasa
.
Nakuletea wakali kumi waliotikisa dunia
Ni kalist ambalo nimeokotezaokoteza hivyo sitaweza kumridhisha kila mtu
Karibuni
.......
 
10/Pink Floyd
53978a4caae3e137ae25a6f52c603f7d.jpg
682ed1e800e2f51d8918b167d0c20c8c.jpg

Ni kundi la muziki la miaka ile ambayo kijana kuvaa suruali ya bwanga na maviatu kama skuna ndio ilikuwa fasheni ya kijanja
Ni kundi la wanamuziki watano yaani David Gilmomour,Syd Berrett,Nick Mason,Roger Waters na mmoja hivi nimemsahau
Walitamba na vibao kibao kama vile The Dark Side Of The Moon ambacho kulibamba
Kingine ni Astronomy Domine ila utapenda pia The Happiest Days Of Our Lives
.......
 
TOP TEN
Unampenda mwanamuziki gani?
Mimi kwa bongo namkubali Albert Mangwea a.k.a Ngwair mzee waDakika 3 na kama vipi msikilize kwenye Mitungi,blant,mikasi naamini jamaa ni zaidi ya Kiba na Diamond ila hakuwa na nidhamu ya kukitumia kipaji alochojaaliwa na Mwenyezi Mungu mwisho akafa akiwa teja na maskini
Kwa mamtoni huniambii kitu kwa 20ac Umar Shakur huyu wimbo ambao umenigusa ni Dear Mama wengine ni Michael Jackson mzee wa Thriller bila kumsahau mfalme wangu wa muda woteBob Marley na song lake la I'll shot a shariff....twende sasa
.
Nakuletea wakali kumi waliotikisa dunia
Ni kalist ambalo nimeokotezaokoteza hivyo sitaweza kumridhisha kila mtu
Karibuni
.......
kibongo bongo namkubali fid q.. mamtoni ni jay z na marehemu wako jako
 
9/Fela Kuti
cfcbc5932175f55fb0c8dc6cd608e13f.jpg
b73fa329e4b00c437c7a168f647f40a2.jpg

Ni mwanamuziki mwenye asili ya Nigeria
Alizaliwa mwaka 1938 na kufariki dunia mwaka 1997...kwa mujibu wa Mwanafalsafa nasikia jamaa Alikufa kwa ngoma kutokana na tabia yake ya kupenda starehe na vidosho kupitiliza
Alitamba na ngoma kibao ila kwa uchache tu zitafute Teacher Don't Teach Me Nonsense hapa sijui alilenga nini kuhusu walimu wetu wale...
Ila pia kaimba Shakara na mwingine uitwao Water No Get Enemy
Alikuwa mkali wa Afro--Beat
......
 
8/Madonna
3aea9de54ef4a7ed288d9368030761ea.jpg
7f260d39b7f3e4584876cf99dcdfc392.jpg

Ni mwanamuziki wa Kimarekani aliyezaliwa Agosti 16 1958 yaani tayari ni bibi
Alikuwa na vituko kumzidi huyu Lady Gaga yaani kamzidi kwa kila kitu kuanzia kukaa uchi hadi vituko stejini na maisha binafsi achilia mbali mkwanja...anapenda pia kujirusha na viMario
Alitamba na Like A Virgin, Like A Prayer kisha akakandamizia na Vogue bila kusahau Hung Up
....
 
8/Madonna
3aea9de54ef4a7ed288d9368030761ea.jpg
7f260d39b7f3e4584876cf99dcdfc392.jpg

Ni mwanamuziki wa Kimarekani aliyezaliwa Agosti 16 1958 yaani tayari ni bibi
Alikuwa na vituko kumzidi huyu Lady Gaga yaani kamzidi kwa kila kitu kuanzia kukaa uchi hadi vituko stejini na maisha binafsi achilia mbali mkwanja...anapenda pia kujirusha na viMario
Alitamba na Like A Virgin, Like A Prayer kisha akakandamizia na Vogue bila kusahau Hung Up
....
 
7/Led Zeppelin
74e1cf9ee545cc8e89544ce414c4518b.jpg
5a8a6313e3c118c8adc3d0d323cc36e2.jpg
db16653875443d812881473eac00db1f.jpg

Ni bendi ya muziki wa rock kutoka London huko kwa Malkia Elizabeth iliyoanzishwa mwaka 1968
Iliundwa vijana wafuatao Robert Plant,Jimmy Page,John Paul Jones & John Bonham....hivyo jamaa wakakunguta vyombo na kuimba na kuishika dunia
Ngoma zao chache ni kama vile Stairway To Heaven,Whola Lotta Love ukivisikiliza na usielewe basi una gundu
Pia kuna Kashmir na Immigrant Song
.....

 
59968529bb2ea744c6cb9cd41cfb0a17.jpg

Mazishi ya Bradley Lowery: Maelfu wafika kumuaga shabiki aliyegusa nyoyo za wengi....
0c095dcdc693f0babcda1fbe274987b6.jpg


.........Maelfu ya watu walijitokeza katika barabara za kuelekea nyumbani kwa Bradley Lowery, shabiki wa klabu ya Sunderland FC ya Uingereza, kutoa heshima zao za mwisho.
8608dcdac77623916a8ca2ba1b8fbb31.jpg

..
e2f6d820d6ff9e2e417b847bdd7e9240.jpg



Ibada ya wafu ilifanyika katika kanisa la Mtakatifu Yusufu kijijini mwao, wengi wakimsifu sana mvulana huyo kwa ukakamavu wake na sifa alizojilimbikizia....

Maandamano yalikuwa sio ya nchii hiii..

14492047b3545395f6f809e808daedde.jpg


Jermain Defoe aliyeonekana kutekwa na hisia, alikuwa amevalia jezi ya England yenye jina la Bradley

40190d2b8cc62cabb2aa3d941cbf2ff0.jpg



Meneja wa zamani wa Sunderland David Moyes alikuwa miongoni mwa watu mashuhuri katika soka waliohudhuria mazishin hayo

5c879449ddc734e6df0cd03fdefd2777.jpg


e5ca055308d2786c060b1162ecf7b1dc.jpg


Barabara za kuelekea kanisa la Mtakatifu Yusufu zilipambwa kwa puto na mabango yenye ujumbe wa kutoa heshima kwa Lowery.
3c45673f392ae31341f5f539579c33f5.jpg

Wengine waliacha ujumbe nje ya uwanja wa Sunderland wa Stadium of Light.

Waombolezaji walifika kwa wingi kanisani, hivi kwamba wengine walikaa nje.

Jamaa za Bradley walivalia jezi za soka, kukumbuka upendo aliokuwa nao kwa mchezo huo.
e34b88fa55290e51f2af8dff706e057f.jpg


Mamake Gemma aliambia waliohudhuria mazishi hayo: "Alikuwa na tabasamu kubwa na la kupendeza hivi kwamba lilikuwa lingeangaza chumba chochote kile. Ni shujaa mwenye ujasiri, ametuacha.

"Aligusa nyoyo za wengi - aliwatia moyo watu wengi. Mwana wetu mpendwa, ndugu - nyota ya kupendeza.

"Ingawa wakati uliokuwa nasi ulikuwa mfupi, ni lazima una kazi ya kufanya huko mbinguni na malaika kwani Mungu amekuchagua wewe.

"Kwa sasa, mtoto wangu kwaheri, Hatu tutakapoonana tena shujaa wetu huko juu mbinguni."...

Ila kiukweli watu wameonesha upendo wa kiwango cha hali ya juu....zicheki picha watu walivoamua kufanya. .

Karibia kila barabara mtaani zilitumdikwa pichaa.
8191e8423d8bf62c0a5b906110d55493.jpg

0e74e7b03aace13524ce2e360d3d2ef0.jpg
...moyes alikuwepooo

upendo uliojeee.....

7a3808aacc24c07e6491e17288571fe8.jpg


1adad173f0fa14e6481ce54d0526d1c3.jpg
76962ae5f02342f886374effd96fb2c2.jpg


Pumzika kwa amani kipenzi chetu....
 
6/Bob Marley
494f11eca26ba5e961a8b6e9750ad3bb.jpg
83c2149df20d6ae70da89cad535b0e46.jpg
b25c32981017f1e85498ee9f0a52ef34.jpg

Kama humkubali Robert Nesta Marley kisa tu alikuwa akipuliza moshi wa bangi basi kajinyonge tu kwangu mimi ndo Mfalme wa kweli wa muziki ...aliimba karibu kila kila kitu kuhusu maisha
Alizaliwa mwaka 1945 na jufariki mwaka 1981 akiwa na miaka 36 tu
Sababu ya kifo chake ni saratani liliyosabishwa na kidole alichoumia wakati akicheza soka na kukataa ushauri wa madaktari kukiondoa sababu tu ya imani ya kirastafarah
Alizikwa kaburini pamoja na kipisi cha bangi,gitaa lake na biblia iliyofunguliwa ikurasa wa Zaburi 23(kuhusu ukurasa sina hakika km nipo sawa)
Wimbo wake wa One Love umekuwa kama kauli mbiu tukufu dunia nzima
Vipi kuhusu I Shot A Sheriff ?
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom