Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kabisa mke mwee mama mchuchu abarikiwe sana sanaHongera mke mweee mama mchuchu kakurithisha karama

Namuona muhenga Sakayomalebo jambazi yaan sakayo ni muhenga kweli kweli nyimbo zake za zamani
OoohMambo kwa code dada tukiongea bana
Tunammiss pia dadaAmeeen
Mama Mchungaji nammiss ujue
Obe kasema atakuwekea j2Ndo zangu hizo
Akuje baasiTunammiss pia dada
Amenikama mie jamaan shusho kanifanya niwokoke na kuwa muhubiri bila kumsahau mama yangu kipenzi mama mchuchu
haleluyaa
Kuja bado mpaka aweze kutoa signature au aende kwa fundi akatoleweAkuje baasi
Cjui kafichama wapi,hebu mpigie tuoneKabisa mke mwee mama mchuchu abarikiwe sana sana![]()
Yupo mzima kabisaCjui kafichama wapi,hebu mpigie tuone
AkuuuuObe kasema atakuwekea j2
Mwenzangu...huyo ni muhenga wa enzi za kina malebo
HeeeeKuja bado mpaka aweze kutoa signature au aende kwa fundi akatolewe