Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Bob Marley
494f11eca26ba5e961a8b6e9750ad3bb.jpg
83c2149df20d6ae70da89cad535b0e46.jpg
b25c32981017f1e85498ee9f0a52ef34.jpg

Kama humkubali Robert Nesta Marley kisa tu alikuwa akipuliza moshi wa bangi basi kajinyonge tu kwangu mimi ndo Mfalme wa kweli wa muziki ...aliimba karibu kila kila kitu kuhusu maisha
Alizaliwa mwaka 1945 na jufariki mwaka 1981 akiwa na miaka 36 tu
Sababu ya kifo chake ni saratani liliyosabishwa na kidole alichoumia wakati akicheza soka na kukataa ushauri wa madaktari kukiondoa sababu tu ya imani ya kirastafarah
Alizikwa kaburini pamoja na kipisi cha bangi,gitaa lake na biblia iliyofunguliwa ikurasa wa Zaburi 23(kuhusu ukurasa sina hakika km nipo sawa)
Wimbo wake wa One Love umekuwa kama kauli mbiu tukufu dunia nzima
Vipi kuhusu I Shot A Sheriff ?
......
Da hapo kwa Bob aisee umenikuna
 
KUMBUKUMBU.

Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .
7b6caf81a5213a181b6418b634304896.jpg
Eeka maaa
 
3/Elvis Presley
0a2a22d7bfad7d510ee736c9fab7fd3d.jpg
69d0e150d155ea288f7a264b9bcebe36.jpg

Alizaliwa mwaka 1935 na kufariki dunia mwaka 1977 akiwa bado damu inamchemka
Alitamba na vibao kibao kama vile Jailhouse Rock na Can't Help Falling In Love bila kusahau Hound Dog na Love Me Tender
b8eb02e129cec4183172849b67471000.jpg

Binti yake aitwaye Lisa Presley alikuja kuwa usingizi wa Wacko Jacko na kuwa miongoni mwa couple za kifahari na maarufu ya muda wote japo walishindwana na kumwagana kama gari la taka linavyofanya likifika dampo
.....
 
b37c5c451dff00b1b1905ffcb520102f.jpg
454d142554bee5ca9a04b60f73e91acf.jpg

Wazungu walipomuja Sauzi walishangaa kuwaona dada na mama zetu walivyojaliwa makalio
Sasa walivyo washenzi wakamchukua Sarah pamoja na mwenzie mmoja au wawili ili kuwapeleka huko Ulaya na wenzao wafaidi
Inaaminika bdiyo mwanamkw mwenye makalio makubwa na uke wenye mashavu makubwa zaidi kuwahi kutokea
Muvi kibao zimechezwa kumuhusu bila kusahau vitabu
......
Kumbe wazungu wafumbafu sana yaani but sijui ni kwanini wakija kwetu tunawashobokea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom