Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,394
- 10,836
Transcend unaona sasa na maswali yako yale!Yo mean Victor
Transcend unaona sasa na maswali yako yale!Yo mean Victor
Da hapo kwa Bob aisee umenikuna6/Bob Marley![]()
![]()
![]()
Kama humkubali Robert Nesta Marley kisa tu alikuwa akipuliza moshi wa bangi basi kajinyonge tu kwangu mimi ndo Mfalme wa kweli wa muziki ...aliimba karibu kila kila kitu kuhusu maisha
Alizaliwa mwaka 1945 na jufariki mwaka 1981 akiwa na miaka 36 tu
Sababu ya kifo chake ni saratani liliyosabishwa na kidole alichoumia wakati akicheza soka na kukataa ushauri wa madaktari kukiondoa sababu tu ya imani ya kirastafarah
Alizikwa kaburini pamoja na kipisi cha bangi,gitaa lake na biblia iliyofunguliwa ikurasa wa Zaburi 23(kuhusu ukurasa sina hakika km nipo sawa)
Wimbo wake wa One Love umekuwa kama kauli mbiu tukufu dunia nzima
Vipi kuhusu I Shot A Sheriff ?
......
F#¥$("¥"("("¥("("("(("("🙂(🙂*÷¥"*÷¥$ kkkk
Nilikuwa naandika Nukuu bahati mbaya imefutika..
![]()

Hahaha
DuuuGwada Gwada man..... Jamaica Gwada.....
hahaha! amna wewee.. ujui magazijuto wala mzee majuto, umekosea vibaya vibayaHahaha
Kweli najua magazijuto
Eeka maaaKUMBUKUMBU.
Pichani ni Sarah Baartman mwanamke kutoka Afrika kusini aliegeuzwa maonesho enzi za utawala wa makaburu. Kutokana na sura na umbo la kibantu alipelekwa Ufaransa na kuwekwa kwenye majumba ya starehe ambako wageni walilipa hela ili wamwangalie akiwa uchi wa mnyama wakimlazimisha atembee ili waone anavyotingisha! Sarah alozaliwa mwaka 1789 alifariki mwaka 1815 akiwa na miaka 26 kutokana na mateso ya kuingiliwa na wanaume wasio na idadi pamoja na muda mwingi kusimama. Baada ya kifo chake alikaushwa na kuhifadhiwa ili aendelee kua kivutio cha utalii. Watetezi wa haki za weusi walikua wanashinikiza Ufaransa iukabidhi mwili huo kwa Afrika kusini ili uzikwe kwa heshima, juhudi zilokujafanikiwa mwaka 2002 chini ya msaada mkubwa wa Nelson Mandela ambapo mwili wa Sarah ulizikwa upya mjini Pretoria kwa heshima zote! .![]()
NimekuhamuHataki kuja
Naaanza upyaNisamehe jamani.... Nilikuwa nataka niangalie picha kwa bahati nikatoa bila kusave..... Am sorry hunie
Kumbe wazungu wafumbafu sana yaani but sijui ni kwanini wakija kwetu tunawashobokea tu![]()
![]()
Wazungu walipomuja Sauzi walishangaa kuwaona dada na mama zetu walivyojaliwa makalio
Sasa walivyo washenzi wakamchukua Sarah pamoja na mwenzie mmoja au wawili ili kuwapeleka huko Ulaya na wenzao wafaidi
Inaaminika bdiyo mwanamkw mwenye makalio makubwa na uke wenye mashavu makubwa zaidi kuwahi kutokea
Muvi kibao zimechezwa kumuhusu bila kusahau vitabu
......
aujapatia wewe yani hivo vi emoji ni kushaanga jinsi gani ulivyotoka nje ya boxHahaha
Yeah...
Kisa signature??Hataki kuja

Nini husna?Duuu
Hiyo minenooNini husna?
Ni wapumbafu lakini wametutawala kwa kila kitu sababu Waafrika hatujitambui wala kutukuza vyetuKumbe wazungu wafumbafu sana yaani but sijui ni kwanini wakija kwetu tunawashobokea tu
Baridi jamani... Twende ndani basiiiNimekuhamu
Ukanda wa Jamaica huo, usiogope.Hiyo minenoo