Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ameen shemKama uko pouwa. Jina la Bwana lihimidiwe..
Niko pouwa pia Shem.
Mungu ndio kila kitu bila yeye sisi sio kitu
Ameen shemKama uko pouwa. Jina la Bwana lihimidiwe..
Niko pouwa pia Shem.
Mungu ndio kila kitu bila yeye sisi sio kitu
1WATHESALONIKE 5its a privilege bruh!Alright! Nice to know you bruh
Amina...1WATHESALONIKE 5
17.Ombeni bila kukoma
Tunakumbushwa kuomba.
Tusiache kuomba.
Omba kazini,Nyumbani,
Safarini,Shambani,kwenye biashara,hospitali,Ukiwa na shida,Ukiwa na raha popote unapokuwa.
Kuna nguvu katika maombi.
Omba mpaka unachokiombea kitokee wala usikate tamaa.
Not as i expected.its a privilege bruh!
natumaini nimekujibu vema swali lako lakin..
UsijalSorry kama umekwazika
Ni kweli T na hutakiwi kukata tamaa kabisa Mungu anakusikia atakujibu tuAmina...
Hata Bwana Yesu, alishaagiza "kesheni mkiomba maana hamjui siku wa saa ambapo mwana wa adamu atarudi"

Amen... barikiwa sana1WATHESALONIKE 5
17.Ombeni bila kukoma
Tunakumbushwa kuomba.
Tusiache kuomba.
Omba kazini,Nyumbani,
Safarini,Shambani,kwenye biashara,hospitali,Ukiwa na shida,Ukiwa na raha popote unapokuwa.
Kuna nguvu katika maombi.
Omba mpaka unachokiombea kitokee wala usikate tamaa.
AminaNi kweli T na hutakiwi kukata tamaa kabisa Mungu anakusikia atakujibu tu![]()
Barikiwa na wewe mshkaji wangu Mungu anatupenda sanaAmen... barikiwa sana

haha! samahani sana kwa failure yangu!Not as i expected.
Potezea mshikaji wangu..haha! samahani sana kwa failure yangu!
labda ulitarajia vipi


. Its okey with me.pamoja mshkaji wangu TranscendPotezea mshikaji wangu..
. Its okey with me.
Hakuna lolote kipya wala la ajabu mazungumzo yangu na Mndali ni ya koutani tu na ndo yalikuwa hivyo km unavyojua samtaimu watu tunataniana tu
Hata hapo niliposema Wasukuma au ile mutu haipo na kuweka emoji ni kuonesha tu natania
Usiwaze sana mdau
Potezea
.........
ni kweli Mungu anatupenda wote tena sana tuBarikiwa na wewe mshkaji wangu Mungu anatupenda sana![]()
Aminaaa1WATHESALONIKE 5
17.Ombeni bila kukoma
Tunakumbushwa kuomba.
Tusiache kuomba.
Omba kazini,Nyumbani,
Safarini,Shambani,kwenye biashara,hospitali,Ukiwa na shida,Ukiwa na raha popote unapokuwa.
Kuna nguvu katika maombi.
Omba mpaka unachokiombea kitokee wala usikate tamaa.
Kwa hiyo wewe unapenda huu upuuzi unaotaka kuota mizizi humu ??Usijal
ni kweli Mungu anatupenda wote tena sana tu
alafu wakati nasoma iyo comment yako ya wathesalonoke5 nikajua ni mama mchuchu.. kumbe ni wewe mshkaji wangu mwenyewe!

Sina cha kuongea kila mtu na mtazamo wake lee endeleeni tu kujibishana ila jibu la mjinga ni kumkalia kimya hatakuwa na wa kujibishana nae mwisho wa siku anakaa kimyaKwa hiyo wewe unapenda huu upuuzi unaotaka kuota mizizi humu ??
Ni mie hapa mtoto wa nyoka ni nyokani kweli Mungu anatupenda wote tena sana tu
alafu wakati nasoma iyo comment yako ya wathesalonoke5 nikajua ni mama mchuchu.. kumbe ni wewe mshkaji wangu mwenyewe!
mama mchuchu abarikiwe sana