Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524]1WATHESALONIKE 5

17.Ombeni bila kukoma


Tunakumbushwa kuomba.

Tusiache kuomba.

Omba kazini,Nyumbani,
Safarini,Shambani,kwenye biashara,hospitali,Ukiwa na shida,Ukiwa na raha popote unapokuwa.

Kuna nguvu katika maombi.

Omba mpaka unachokiombea kitokee wala usikate tamaa.
 
[emoji524]1WATHESALONIKE 5

17.Ombeni bila kukoma


Tunakumbushwa kuomba.

Tusiache kuomba.

Omba kazini,Nyumbani,
Safarini,Shambani,kwenye biashara,hospitali,Ukiwa na shida,Ukiwa na raha popote unapokuwa.

Kuna nguvu katika maombi.

Omba mpaka unachokiombea kitokee wala usikate tamaa.
Amina...

Hata Bwana Yesu, alishaagiza "kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa ambapo mwana wa adamu atarudi"
 
Back
Top Bottom