Tetesi za usajili ....leo kapuku hotel kamaliza msosi mapema wengine tutakula jioni
Nakuona kaka na kaitel kakoMko poa jamani
Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
[emoji121]Wanawake mliozaa humu nyoosheni vidole..
Nina jambo nataka mnieleze
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Punguzeni basi..
Au na mimi nianze kuandika kiarabu huku..?
Tanga mojaHabari wanayo wakataa kwao najivunia kuwa msambaa jaman
Ukubwa Wa zenji ni sawa na ukubwa Wa mbagala![]()
![]()
Zanzibara nchi kama wilaya..
Shukrani kwa tetesi za usajiliWakuu mi sina la kiada tuonane baadae ...
[emoji122] [emoji122] [emoji122] mchana naona pamechangamka japo sijapitia pages
[emoji124] [emoji124] [emoji124]Mie naona nitakuwa wa kwanza mke mwee halaf kule season 6 imeshaisha kwa lege mambo ni motooo
Yupo kwenye mitala ni bi mdogo ati[emoji108] [emoji108] [emoji108]Kwani kulikoni shem
Akina wachu na nyinyi hampo nyuma leoNilimooo chane
Kwani ww ni mzee[emoji134] [emoji134] [emoji134]Wewe mtoto unatakiwa uheshimu wazee wako [emoji2]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sasa hilo ni la kuomba ushauri we unaonaje kwani
Pole na kazi mume wanguNaleft...
Byeee
Analia nini kumbePole T jamaan