Makapuku Forum

Makapuku Forum

Swali kwa wanawake;

Cc Shunie na husna muba BlessedHope


Kwanini siku hizi wanawake wengi wanajifungua kwa operation?

NB;

Kuna tetesi zinadai Hospitali za Private zina-influance mtu afanyiwe operation ili wao wapige hela tofauti na hospitali za serikali?

Kujifungua kwa operation Private ni 1.8million hadi 4 milion?

Sasa whats going on behind these? kuna ukweli?
Kuna ukweli na private kuna mda wanakulazimisha kukupiga kisu ili tu wapate hela na ndio mana hospital binafsi nyingi kujifungua kwa operation ni kawaida kwao tofauti na hospital za serikali
 
Swali kwa wanawake;

Cc Shunie na husna muba BlessedHope


Kwanini siku hizi wanawake wengi wanajifungua kwa operation?

NB;

Kuna tetesi zinadai Hospitali za Private zina-influance mtu afanyiwe operation ili wao wapige hela tofauti na hospitali za serikali?

Kujifungua kwa operation Private ni 1.8million hadi 4 milion?

Sasa whats going on behind these? kuna ukweli?
Hakuna ukweli wowote.. Ila baadhi ya wanawake huwa wanataka hizo operation kwa kuogopa maumivu ya uchungu....

Hakuna Doctor anaependa kumpasua mwanamke with no reason, ila wale wenye nasaba bora hufanya kuomba kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom