Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HeheheSaww nikaneeee
HeheheSaww nikaneeee
Hicho cha BHKapuku Forum, hivi ni vifupi ambavyo ulipaswa uvijue kabla hujapost chochote huku.
Kuna kifupisho kingine BH, afu kuna lee empire , sijui kama ushamuona, ni mjomba wangu

Aiseee kumbe alimaanisha hivyoUkimwi eti![]()
Ningemzoe Rafiki yake basi kweke ningefikaaa x 2 ( shunie)
Ningezitambua ishara zake mimi kwake ningefikaaa x 2
Unamjua bae....Hata mimi namjua..
Kwelii kabisa ....6/Tanzania![]()
![]()
![]()
Ferouz aliimba Starehe zimemponza .....Mwanafalsafa akaimba Alikufa kwa ngoma Komba nae pia akaimba kivyake
UKIMWI ni janga Tanzania binafsi ni mtu wa Green City na nimezika ndugu wengi kutokana na hili janga ambalo kwa Tanzania Mbeya ni miongoni mwa vinara....Wanyaki kwa kupenda ngono nafikiri wanajulikana ila pia sababu nyingine ni ya Kijiografia
Kwa wasanii Twanga Pepeta wamepukutishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na kupasiana nasikia kuanzia BanA,Aisha Madinda,Diana Aston Villa,Abou Semhando wote walikuwa na ngoma huku Ally Chini mzee wa mafarasi naye nasikia humo
Tanzania ina idafi ya watu zaidi ya Milioni 50
Watanzania zaidi ya 1,400,00 wamejiunga grid ya taifa
.......
SawaTunawakilishaaa
Wengi washaifanya fashion ndo maana mimama mingine haina uchungu na watoto wao shenzi taaaaiiiipuuuu....Swali kwa wanawake;
Cc Shunie na husna muba BlessedHope
Kwanini siku hizi wanawake wengi wanajifungua kwa operation?
NB;
Kuna tetesi zinadai Hospitali za Private zina-influance mtu afanyiwe operation ili wao wapige hela tofauti na hospitali za serikali?
Kujifungua kwa operation Private ni 1.8million hadi 4 milion?
Sasa whats going on behind these? kuna ukweli?
Taratibu basiii na mume wanguWimbo kaombwa mpendwa obe
We kiherehere hicho vepee
Kula dona mfululizo uupe nguvu mguu wa siri uso mfupa

MmmmhKweli dada ujue hivi unaanzaje anzaje nawaza tu apa
Hata me naona dada Mungu azidi kuwaweka nije kucheza kwaito mieHahaha
Yaani T nimeokota dodo kwenye mwarobaini
Nikiitupa humu nitakuwa naingia kwa shida maana kompyuta ya ofisi iko kwa bosi
Sitaki kukosa mawasiliano.
Halafu maamuzi magumu hayahusishi kutupa simu. Upendo wakko kwangu nautilia mashaka
Werevaa yangu inasumbua ujueT ukuje hapa
Endelea kuguna na huo mguno na nilivyo siupendiMmmmh
We umejuajee??!!!...halafu ni tamu kama maginiziamu, ukizinywea na maji ni kama umekula Vicks kingo
Aunt E anakusalimiaaHa ha ha ha ha ha ha ha... Ndo ashaona hivyo.
Akikujibu niite husna nilishindwa muuliza binamu yanguWe umejuajee??!!!