Cjambo Obe nahc harufu ya shunie hapa kama mtaenda kigamboni najtolea kuwacndkiza
Binamu hunishindi mie jamaan nilimiss vituko vyako binamuShunie, hivi nikuite mara ngapi ili utambue kuwa nilikumiss sana na hata Safari lager ikageuka kuwa chungu huku mvinyo ukichacha.
Nimefurahi kukuona tena (huwa siwasemei wengine, maana kama kama nikikaribishwa msosi wale wa kwa niaba wataambulia kula kwa macho)
yako wapi
Hehe, nimemuona aunt yangu na safari ya Kigamboni naiona inanukia.
Kama utatusindikiza hakikisha umeulamba, mambo ya kuja na msuko tangu pasaka tutaachania kwenye pantoni
seriously, niliyaona kwenye simu yangu kabisa lakini nikirefresh hayajaonekana, yaani nimeyapost hapa yalikuwa maua haya, sita.
Simu yangu ina tatizo nimeamini sasa
Sent from NOKIJA 3310G using Jamiiforum app 2017
KaribuUbarikiwe sweetie
Aulambeee kweliiiHehe, nimemuona aunt yangu na safari ya Kigamboni naiona inanukia.
Kama utatusindikiza hakikisha umeulamba, mambo ya kuja na msuko tangu pasaka tutaachania kwenye pantoni
LolNa ukiona mtu anabembeleza penzi huyo naye ni "mtu mdogo"
Ukiona thread inabembeleza watu wapost hiyo pia ni thread ndogo
Ukiona mtu anabembeleza urafiki huyo pia ni "rafiki mdogo"
........
Mambo?
Nimependa hapo kuachwa ni kubaya ukizoea ni kuzuri Ahahhaha we shedede kubaliana na hali ujue kuna maisha bada ya kuachwa lee mzima anakusikiaWakuu habari za siku??..,nawapenda sana mishe mishe zanifanya niwe bize, na nisiingie kabisa jukwaani.
♡Cc.mndali-salamu zako nimezipata kakaangu tuko pamoja mno..
♡Cc.shunie-nimekumisi sana lee mzima??
♡Cc.shululu-nimekumissi afande mwenzangu vip shemeji yangu mzima??
♤Cc.lee empire-nimekumis sana blaza vip porini kwema??
♡Cc.bitoz-nimemisi story zako kaka
♡Cc.shimba ya buyense-nimemisi utani wako mkuu tuko pamoja.
♡cc.husna muba-japo kuachwa ni kubaya,hila ukikuzoea ni kuzuri sana, bado nakupenda ukiona vip nirudie, DOOR IS OPEN FOR YOU.
Pia nimewamisi wote hata ambao sijawataja list ni kubwa
-sakayo
-nyagei
-transcend
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Dadangu, umemwona Jimena?Binamu hunishindi mie jamaan nilimiss vituko vyako binamunimefurahi pia binamu kuonana na wewe tena
Ahahhaha umenichekesha eti huwezi kuwasemea wengine halaf binamu we mchoyo ujue unaonekana
Tumosa kaniambia unajifunza kuweka maua binamu
Kaka angu mie ndio jana imekuwajeUmeshindaje mrembo!
Moyo watamani kusikia toka kwako
Doh9/Hazel Jones
Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na dokta kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu abajisikia fahari japo unahitaji mtu antoe bikra kote kote......mi simo nasema simo !!
........
Nimekununia ujue kaka jimena nimemuona mda si mrefu ameingia kukujibu kakaDadangu, umemwona Jimena?
Huyu kweli kapendelewa8/George Lippert
Huyu George jamani kapendelewa
Alizaliwa mwaka 1844
Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na mioyo miwili lakini ilipofika siku ya kufa haikufua dafu mioyo yote injini zilisimama na nshua akavuta kama wengine tu wenye moyo mmoja!!
Huyu jamaa hakujua kama ana mioyo miwili tena iliyo futi hadi mwaka 1906 alipoenda hospitali na Daktari kumtonya ana moyo wa ziada
Miguu yake yote mitatu ilikuwa mizima na jamaa ukimchokoza utakula mateke zaidi ya shukrani ya punda.....Huyu ndo bwana Lippert
Miguuni jumla alikuwa na vidole 16
Hadi leo jamaa rekodi zake bado ni funika bovu labda zivunjwe na wanyama wengine ila siyo binadamu
........
wali kila siku utakuwa hunyi wewee
Alifaa kuwa muimba taarabu huyooLimenipata mkuu, nisiwe mwongo, huyu jamaa kwa vijembe ninmwelewa sana