Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

11/7/1934 - Giorgio Armani mbunifu wa mavazi toka nchini Italy anazaliwa.
b860341b5f97d32e9964330dbbc44ca1.jpg
Huyu mzee ni tozi
8e1a1ec8274942d4225d0f56a0a4a556.jpg
Moja kati ya kazi zake
4895056a4ac927fc08c3c1ca603b515a.jpg
9c2d264e83a1dcd261c75bc747a6b625.jpg
Kwenye marashi hashikiki kabisa
......
 
Leo katika Historia

11/7/2007 - Lady Bird Johnson. Mke wa aliyekuwa Rais wa Marekani Lyndon B. Johnson anafariki Dunia.
ba93356e872968b38602f664b935b967.jpg
e1cdc272e29f278987d9e000fb088cc3.jpg
e14af525ec4d5645652cce368edfe01f.jpg

At age of 04 !!!
What a blessing ?


**************
Mumewe ndo Rais wa Marekani mwenye zali la mentali ukipenda sema ngekewa
Alikuwa makamu wa Rais JFK ...alipouawa ndani ya siku hiyohiyo akawa Rais
Pia kutoka chini huko kwenye useneta ulikuwa Ni mwendo wa ngekewa tu watu walikufa anachukua nafasi....
Uongozi wake wa kisiasa ni km zali la mentali tu ....Profesa Jay ndo anayeelewa
Kuna watu wana bahati duniani kitu pekee kibaya alichoachiwa na JFK ni vita ya Vietnam ambayo Wamarekani walipigwa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom