Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Mi niko poa mkuu habr ya hapo ulipoUko poa lakin ...
Mi niko poa mkuu habr ya hapo ulipoUko poa lakin ...
Njema dadaSalama vipi Hali yako
Tumechoshwa na hizi muvi
MzimaSakayo mzima?
Mi mzima kabisaMzima
Habari yako lakini
Asante ankali kwa historiaMpaka hapo sina la ziada.
Leo katika Historia imeletwa kwenu nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ kwa udhamini mkubwa kabisa wa Mzee wa UF
Kwaherini kwa sasa
Leo katika Historia
11/7/1934 - Giorgio Armani mbunifu wa mavazi toka nchini Italy anazaliwa.
Yani huu unyunyu ni shiiiidaHuyu mzee ni tozi
Moja kati ya kazi zake![]()
Kwenye marashi hashikiki kabisa![]()
......
Leo katika Historia
11/7/1975 - Lil Kim. Rapa wa muziki toka nchini Marekani anazaliwa.
Kumbe lil Kim ni mhenga![]()
Leo katika Historia
11/7/1986 - Raul Garcia. Mchezaji wa mpira wa miguu toka nchini Hispania anazaliwa.
Leo katika Historia
11/7/1986 - Yoan Gorcuff Mchezaji wa mpira toka Ufaransa anazaliwa.
Sijambo Shem yangu sijui wwUmeamkaje shem
Leo katika Historia
11/7/2007 - Lady Bird Johnson. Mke wa aliyekuwa Rais wa Marekani Lyndon B. Johnson anafariki Dunia.