shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hamna namna nyingine sasaNtafanyajeee ndo binamu wangu
Hamna namna nyingine sasaNtafanyajeee ndo binamu wangu
Uko poa lakinKabisaaa
Sijui mwenyewe kaelewaa ??Hamna namna nyingine sasa
Yaaa namshukuru Mungu niko poa japo nna fluUko poa lakin
Pole mpaka Obe kakuzidiLeo nimekuwa wa mwisho kujua
Npo shemela niende wapi zaidi kfUpooo??
NashangaaaPole mpaka Obe kakuzidi
Umenikumbusha mbaliii ....unakumbuka mjumbe alikuuliza nini?? Na wewe ulimjibu nini ...![]()
![]()
ila wewe utundu wa katabiaa aka ulianza mwanzoni make kisa cha mtoto wa mjumbe kuniletea maji ukamtuma maziwa ...mjumbe ngoja agomeshee kusaini ili utambuliwe
Hii nyimbo imenikumbusha enzi za usichana wangu Maisha yanaenda kasi sana nmezeeka sasa
Sema ndo hivo huyo sabrina aliolewa akaachika ana watoto wanne kila mmoja na baba yake ...ila kuna mmoja wanasemaga ananifanana kwa mbalii....na alipoleta maziwa ukasema wewe ndo umenileta mjini ukayanywa , ila baaadaye alinipaga mtindi, nikasema haina noma wakubwa mlifaidi
Nshazeeka bwana si najiona mwenyeweHujazeeka ila sema ndo umekuwa mistress wa nguvu
Niko poa kabisaUko poa aunt
Pole dear,Bwana Yesu akuponyeYaaa namshukuru Mungu niko poa japo nna flu
Aaah , mjomba enzi zile unanileta mjini si unakumbuka nilivyokuwa nawatambia wanafomufoo wenzangu kuwa mimi nikimaliza shule tu naenda Dar kwa anko. Kweli bhana ukanileta mjini, tatizo likawa malezi ya dadaako na wewe no tofauti, nikajikuta nafuata malezi yako.
Yule mjumbe yule mwanae unawasiliana naye bado maana ilikuwa excuse yako ya kuwa unaripoti pale everytaimu
Afu sijapiga mbizi kigamboni bhana, nimepita hii njia ya tiper bahari imekupwa
Binamu heshima kwako kwanza....mengine kaushia binamu mbona dada alikulea kwa hekima na busara
Binamu umesahau mara ya kwanza nakuleta mjini japo ilikuwa lazima tufike kwa mjumbe kuripotii ....
Nasikia leo umepiga mbizi kwenda kigambonii![]()
![]()
...
ASante BH, sijui niandike nini kingine kusema kuwa Kapuku Forum ni sehemu nzuri kwa kuwa wewe u-sehemu yake.
Ulikuwa umepotea sana mkuu. Kwema lakini?Bwana Yesu asifiwe, wapendwa![]()