Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kwangu umefika mume wanguOooh! Sipo mimi
Ila sakayo anajua kutumia Ak-74
Nashukuru umeshamnunulia simu ya hadhi Sakayo wa T,simu yake ikiita kama yuko mbele za watu anatoka kwenda mahali kusikiliza,kama kuchat anachat ndani ya pochi kama mimi..ameomba sana umnunulie nyingine Mungu akubariki kwa ununuzi huoEeeh..
Nipe mama mchuchu..!
Huo ujumbe wangu uko wapi sasa?![]()
![]()
Ubarikiwe T wa Sakayo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Acha picha liendeleeHaahaaaaam..
Zinaboa kinoma usifanye hivo JJ
HahahaIwe KAMA ya T anayomletea Sakayo sio TECNO ,UTAKIMBIA
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Nimemjibu mwananguAkikujibu niite bae
Karibu tena mkuu..hapana sio new member, ila wakati makapuku inaanzishwa mwanzoni nilikuwa naingia sana ila hapa katikati sijaingia kutokana na majukumu
Acha hizo bhanaSent from my Motorola bapa using Jf application
Huyu ni wa kitamboNew member?
YaaaniWeeeee hebu kula bhana..
Ili upate nguvu ya kubadilisha milio ya samsung siku hiyo..
Si unajua mawenge ya simu mpya?
Hapa sasa ndio umeongea pointHahaha
Inawezekana ujue... Tatizo mie kiherehere bhana
Siwaelewi weww na BH ujue..Mama wewe utakuwa shahidi

AmeeenNashukuru umeshamnunulia simu ya hadhi Sakayo wa T,simu yake ikiita kama yuko mbele za watu anatoka kwenda mahali kusikiliza,kama kuchat anachat ndani ya pochi kama mimi..ameomba sana umnunulie nyingine Mungu akubariki kwa ununuzi huo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Sasa ni kushukuru kuimba sifa na shukurani kwa BABAJamaniiii
Usinifanye nifunge kula sababu ya furaha
Joh wa jah..!...maandishi yako nami yamenifanya nijisikie kuumwa, uko wapi nije uniandikie dawa?
Mama unakunywaga soda ganiNashukuru umeshamnunulia simu ya hadhi Sakayo wa T,simu yake ikiita kama yuko mbele za watu anatoka kwenda mahali kusikiliza,kama kuchat anachat ndani ya pochi kama mimi..ameomba sana umnunulie nyingine Mungu akubariki kwa ununuzi huo
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app