Makapuku Forum

Makapuku Forum

2063c74695626e436f3c3764570f286e.jpg
 
Inajazaje na ipo chini ya post?tena line moja tu hapa itafanya watu wawe woga kama hajui kutoa, tuvumiliane kama mimi hapa mpaka watoto warudi wanitolee mtaendelea kuona hivyohivyo,sasa kama mtu hawezi kutoa na hajazoea hapa MAKAPUKU akiona hizi kauli anakimbia,jitahudini kuongea kauli zisizokatisha tamaa,watu tunatofautiana uelewa..........maana anaona aibu na ka TECNO/KAITEL/VODAFONE KAKE,me mnivumilie tu ndio nilizonazo hadi nitakapotoa au kununua Yenye hadhi.
pole mama vijana walikuwa wanataniana
 
Asante Mama Mchungaji. Asante kwa kuwa mwombezi wetu. Asante kwa ushauri wako. Asante kwa upendo wako. Asante kwa bashasha zako. Asante kwa kusimama katika kweli daima. Asante kwa kila kitu.

Mimi sijakwazwa na mtu humu na daima nitabakia kuwa kapuku tu. Tuko pamoja Mama Mchungaji. Tuendelee kuombeana na kusameheana bila kuchoka. Nami kama kuna kapuku nilimkwaza humu, naomba nisamehewe.
UBARIKIWE TUPO PAMOJA KARIBU,NAFURAHI KUWA TUPO PAMOJA..MUNGU ANAKAA PENYE UPENDO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom