BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Amena asante..Mungu ambariki sana tunamisShunie anakusalimia.... Na wana kapuku wooote....
Amena asante..Mungu ambariki sana tunamisShunie anakusalimia.... Na wana kapuku wooote....
Asante mamy... Kakangu hajiwezi kabisaa hebu tafuta comment namba 233415 ilibidi niikariri sababu yako tuuu

Anawamiss pia.... Leo anaumwaAmena asante..Mungu ambariki sana tunamis
Hilo cheko Vipi shemeji
Oooh pole kwake Mungu amponyeAnawamiss pia.... Leo anaumwa
Unavyojua kukariiHilo cheko Vipi shemeji
Oooops!!! Naomba nipate a glass of water kwanza huku nikiyatafakari maneno haya kwa utulivu mkubwa.Jimena nakosa neno zuri la kukwambia, wewe ni zaidi ya dada, nikikuita dada haitoshi, u mtu muhimu kwangu sana.
Moyo wangu waniambia nikwambie neno, lkn midomo yangu inasita, ulimi unagandamana eti waniambia SUBIRI KWANZA.
Ninapokukosa humu yaani nabaki kuwa msomaji wa posts, nakosa la kuandika.
Lakini nikuonapo hapa JIMENA moyo wangu huchangamka.
Kwasababu MIDOMO yangu imeshindwa kutamka neno juu yako Jimena, hebu usome moyo wangu...usinyamaze Jimena, sema neno na moyo wangu uwe salama.
- nalikusaka kila mahali JJ
-hadi nchi ya baridi nalikuona
-nalikuona umevaa koti zito/jacket
Nchi za watu, ulivyopendeza Jj
Nalitamani nikukimbilie
Nije nikushike mkono na
niseme moyo wangu kwako
Lakini palikuwa na ukuta
mbele yangu.
Kuna siku ukaja bongo,
Nikakuona kwenye foleni
pale Nyerere rd maeneo ya
Tazara ukiwa kwenye ile gar
Kali nami nikiwa kwenye
Mandolin yangu,
Nilitamani nishuke nije niku![]()
Lakini haikuwezekana.
Jimena umejaaliwa moyo mzuri,
Muumba amekupa afya ya kuvutia
Body lako kwangu ni zaidi ya lulu na dhahabu..ninalipendaje.
U msichana mcheshi, popote uingiapo watu hutambua sasa mwanamke washoka kaingia.
Una misimamo thabiti...hii ni nguzo muhimu kwangu.
Jimana, Jimenes, JJ
ni majina yako matamu kwangu ewe mrembo.
Hivi nimeandika nini eti Jimena!
Hivi nimeeleweka kweli!!!
Wajanja watakwambia achana naye yule mjinga...usisikilize
Kabla hujasema neno jema au baya kwangu, jaribu kuuvaa moyo wangu..uhisi kitu halafu uvae na viatu vyangu...utapata la kuniambia
Ukifungua moyo wangu utaona alama hizi hebu zisome![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
1. Jimena
2. Jimena
3. Jimena
4. Jimena
Mkimwona mwiteni
Mwambieni yoote
Mwelezeni aelewe
Jimena aaaa
Jimena mtoto wa kwetu.

Mwenyewe naumia kweeeli na hii werevaa yangu.... T ndo hataki kabisaa kuninunulia Samsung Galaxy navumilia tu hivi vijembee vya jf siku inapita
Pole mwanangu lakini tunakusoma na unabarikiwa,sisi kapuku ndio tuwe tofauti kama tumeamua kuwa tofauti,tusitukane,tusikashfu,tusicheke...maana kuna mahali nimeona uzi kabisa khs visimu vyetu sasa sisi ni lipi litatutofautisha na wale?Deal doneAsante mamy... Kakangu hajiwezi kabisaa hebu tafuta comment namba 233415 ilibidi niikariri sababu yako tuuu
AmeeenOooh pole kwake Mungu amponye
Mwenzangu niliimba hiyo namba ka naimba orodha enzi hizooUnavyojua kukarii
Jamaniiii jamani....Oooops!!! Naomba nipate a glass of water kwanza huku nikiyatafakari maneno haya kwa utulivu mkubwa.
Ila nna swali so ukija uniite nikuulize![]()
![]()
Mie nasononeka kwa kweeli, mpaka nipate Samsung Galaxy mamy.... Mie siishi kapuku tuu natembea kila kona ujue.... Hebu ongea na T maana nitapata ule ugonjwa wa mfadhaiko![]()
![]()
Pole mwanangu lakini tunakusoma na unabarikiwa,sisi kapuku ndio tuwe tofauti kama tumeamua kuwa tofauti,tusitukane,tusikashfu,tusicheke...maana kuna mahali nimeona uzi kabisa khs visimu vyetu sasa sisi ni lipi litatutofautisha na wale?
Jibu liko wapi sasaaDeal done
Asante sana cuzo
Mie nasononeka kwa kweeli, mpaka nipate Samsung Galaxy mamy.... Mie siishi kapuku tuu natembea kila kona ujue.... Hebu ongea na T maana nitapata ule ugonjwa wa mfadhaiko
Na anunue tuu mamieAnasoma,anaelewa atanunua unayohitaji
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mbona mi sijaona swali lakini......Jamaniiii jamani....
Jibu ni moja tuu, YES or NO
Tunamsalimia piaShunie anakusalimia.... Na wana kapuku wooote....