Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jimena nakosa neno zuri la kukwambia, wewe ni zaidi ya dada, nikikuita dada haitoshi, u mtu muhimu kwangu sana.
Moyo wangu waniambia nikwambie neno, lkn midomo yangu inasita, ulimi unagandamana eti waniambia SUBIRI KWANZA.
Ninapokukosa humu yaani nabaki kuwa msomaji wa posts, nakosa la kuandika.
Lakini nikuonapo hapa JIMENA moyo wangu huchangamka.

Kwasababu MIDOMO yangu imeshindwa kutamka neno juu yako Jimena, hebu usome moyo wangu...usinyamaze Jimena, sema neno na moyo wangu uwe salama.
- nalikusaka kila mahali JJ
-hadi nchi ya baridi nalikuona
-nalikuona umevaa koti zito/jacket
Nchi za watu, ulivyopendeza Jj
Nalitamani nikukimbilie
Nije nikushike mkono na
niseme moyo wangu kwako
Lakini palikuwa na ukuta
mbele yangu.
Kuna siku ukaja bongo,
Nikakuona kwenye foleni
pale Nyerere rd maeneo ya
Tazara ukiwa kwenye ile gar
Kali nami nikiwa kwenye
Mandolin yangu,
Nilitamani nishuke nije niku
Lakini haikuwezekana.

Jimena umejaaliwa moyo mzuri,
Muumba amekupa afya ya kuvutia
Body lako kwangu ni zaidi ya lulu na dhahabu..ninalipendaje.
U msichana mcheshi, popote uingiapo watu hutambua sasa mwanamke washoka kaingia.
Una misimamo thabiti...hii ni nguzo muhimu kwangu.

Jimana, Jimenes, JJ
ni majina yako matamu kwangu ewe mrembo.
Hivi nimeandika nini eti Jimena!
Hivi nimeeleweka kweli!!!
Wajanja watakwambia achana naye yule mjinga...usisikilize
Kabla hujasema neno jema au baya kwangu, jaribu kuuvaa moyo wangu..uhisi kitu halafu uvae na viatu vyangu...utapata la kuniambia
Ukifungua moyo wangu utaona alama hizi hebu zisome




1. Jimena
2. Jimena
3. Jimena
4. Jimena

Mkimwona mwiteni
Mwambieni yoote
Mwelezeni aelewe
Jimena aaaa
Jimena mtoto wa kwetu.
Oooops!!! Naomba nipate a glass of water kwanza huku nikiyatafakari maneno haya kwa utulivu mkubwa.
Ila nna swali so ukija uniite nikuulize
 
Mwenyewe naumia kweeeli na hii werevaa yangu.... T ndo hataki kabisaa kuninunulia Samsung Galaxy navumilia tu hivi vijembee vya jf siku inapita
Pole mwanangu lakini tunakusoma na unabarikiwa,sisi kapuku ndio tuwe tofauti kama tumeamua kuwa tofauti,tusitukane,tusikashfu,tusicheke...maana kuna mahali nimeona uzi kabisa khs visimu vyetu sasa sisi ni lipi litatutofautisha na wale?
 
Pole mwanangu lakini tunakusoma na unabarikiwa,sisi kapuku ndio tuwe tofauti kama tumeamua kuwa tofauti,tusitukane,tusikashfu,tusicheke...maana kuna mahali nimeona uzi kabisa khs visimu vyetu sasa sisi ni lipi litatutofautisha na wale?
Mie nasononeka kwa kweeli, mpaka nipate Samsung Galaxy mamy.... Mie siishi kapuku tuu natembea kila kona ujue.... Hebu ongea na T maana nitapata ule ugonjwa wa mfadhaiko
 
TOP TEN
Kwa bongo nafikiri Mzee Bakhressa na kampuni yake ya Azam ndo wanaongoza kwa kutoa ajira .....maana kuanzia Dar hadi vijijini tunatumia unga wao,vingamuzi vyao,ukija kwenye michezo pia Azam Fc inalipa vizuri wachezaji kuanzia kuwapa nyumbani,matibabu,usafiri n.k
Licha ya kwamba serikali kupitia taasisi au mashieika ya umma imeajiri watu wengi ila mchanga wa sekta Binafsi katika ajira ni mkubwa ....ila Kwa upande wa kulipa vizuri wafanyakazi kotekote wapo wanaolipwa vizuri na wanaolipwa vibaya

Sasa tuangalie makampuni yaliyoajiri watu wengi duniani
Karibuni
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom