Makapuku Forum

Makapuku Forum

DID YOU KNOW ?
fae3cb9bc43f092b0959264a8754507a.jpg
 
Naamini alikuwa anajoke...tumeshakua ndugu mahali hapa utani ni sehemu ya maisha..by the way unaendeleaje mkuu za uzima?tunakumis mahali hapa,wewe ni sehemu ya familia hii kama kuna mahali ulikwazika TUSAMEHE....tuendelee na maisha yetu.karibu nimefurahi kukuona hapa ubarikiwe
Asante Mama Mchungaji. Asante kwa kuwa mwombezi wetu. Asante kwa ushauri wako. Asante kwa upendo wako. Asante kwa bashasha zako. Asante kwa kusimama katika kweli daima. Asante kwa kila kitu.

Mimi sijakwazwa na mtu humu na daima nitabakia kuwa kapuku tu. Tuko pamoja Mama Mchungaji. Tuendelee kuombeana na kusameheana bila kuchoka. Nami kama kuna kapuku nilimkwaza humu, naomba nisamehewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom