Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwanza kubali hali yako kisha anza kuiona ni changamoto tu halafu kabiliana mayo
Mfano mimi tangu mwezi April naumwa ila nimeikubali hali yangu na kumeza dawa kila siku na kufuata nasharti ya Daktari now nipo nafuu kiasi ila mwanzoni sikuweza kabisa hata kutembea

.......
Pole mdau Bitoz,Mungu wetu ni mwaminifu utakuwa mzima kabisa ,ni changamoto za maisha ,la msingi ni muhimu kukubali na kusonga mbele kuna mambo ambayo maishani Mungu akiruhusu yatokee huwezi kuyabadilisha na huo ndio ubibadamu,Mungu akutie nguvu..muhimu kuzingatia ushauri wa daktari,kunywa dawa tunazoandikiwa,kufuata ulaji bora magonjwa yanapungua..
 
Toa basi hiyo mambo ya Y3+

Inajaza uzi bure
Inajazaje na ipo chini ya post?tena line moja tu hapa itafanya watu wawe woga kama hajui kutoa, tuvumiliane kama mimi hapa mpaka watoto warudi wanitolee mtaendelea kuona hivyohivyo,sasa kama mtu hawezi kutoa na hajazoea hapa MAKAPUKU akiona hizi kauli anakimbia,jitahudini kuongea kauli zisizokatisha tamaa,watu tunatofautiana uelewa..........maana anaona aibu na ka TECNO/KAITEL/VODAFONE KAKE,me mnivumilie tu ndio nilizonazo hadi nitakapotoa au kununua Yenye hadhi.
 
Nunua omeprazole Mondray
Omeprazole ni kwa ajili ya
maintanace kama ana vidonda watacheck hpylori kama positive watampa kit ya mwezi..na magnesium ya maji,na baada ya hapo omeprazole kidonge kimoja kila sk,kama serious atachomwa pantocid,na kadrip angalau mbili na dawa ya maumivu atapumzishwa hosp ,baada ya hapo kama atapimwa ndio hiyo kit..ni lazima aende hospitali ili kupata tiba sahihi,na kuwa mwangalifu na chakula,kula kwa wakati na right food
 
Daktari yupi broo yaan hapa natumia mipanado tu huku maralia inapimwa kama ukimwi ukitumia kale kakipimo wanatogawaga.
Sijawah ona microscope..
Ni vipimo vilivyo thibitishwa na WHO,Zipo hospital zina microscope lakini mara nyingi wanatumi MRDT,na ikiwa positive unatibiwa malaria...so microscope hutumika kuthibitisha mambo mengine
 
What do you mean? Why me and not you, sir? Am I that bad that I deserve an abusive wife? Anyway, God bless you!
Naamini alikuwa anajoke...tumeshakua ndugu mahali hapa utani ni sehemu ya maisha..by the way unaendeleaje mkuu za uzima?tunakumis mahali hapa,wewe ni sehemu ya familia hii kama kuna mahali ulikwazika TUSAMEHE....tuendelee na maisha yetu.karibu nimefurahi kukuona hapa ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom