Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Usijali mamy wanguSamahani spelling ya mwisho,nilijua nimetingwa
Shalom broShalom QUIGLEY
Dreams never end by fear
VitaSijui kuna nini huko porini
Sakayi![]()
Sakayo![]()
Dreams never end by fear

Kosa kubwa ni kutaka kujilinganisha na akina fulani
Kuna mambo humu KF unaweza zunguka JF nzima na usiyapate
Kumbuka hata Pepsi ilimuiga coca cola lakini sasa nimamia ya miaka hawajafanikiwa kulingana nao kwa ladha
Ukichunguza humu wengi ni watu wanaojotambua ndo maana hukuti mambo ya bora uzi ujae
........
Inachanganya au huoni inatokea kwa kila commentWhy bro
Dreams never end by fear
Hongereni sanaHatunaga mbwembwee
Fuatilia mdau utujuzeSeriously Mondray yuko na hali mbaya, sijui huko visiwani wanaishije
Dreams never end by fear
Kwa hapo Nyagei simuelewi kabisaUmeonaee
Mie kila saa nataka kumjibu
Anayo kahawa nzuri sana mpaka yenye kunguNyoka teena
Mpaka kibari cha PM kusafirishaAnipe walau debe moja
Mdau hapa ni mwiko kumzungumzia jirani![]()
![]()
![]()
Kule sijui wako na akili gani cause kila mmoja anasema lake then wanataka kujifananisha na Kapuku's
Nabaki kushangaa tu
Kuna ndugu yetu mmoja siku hizi namuona yupo kule all the time sijui nini mbaya imetokea.
Dreams never end by fear
Ni kweliUkizaliwa kiziwi mdomo utakuwa mzito maana mtu hujifunza kuongea kwa kuwasikiliza wengine
Wenye ma tatizo wengi ya kutokusikia hawajui kuongea kabisa
Ila kwa wale wanaoyapata ukubwani wakati tayari washajua kuongea huwa sio tatizo sana changamoto huwa kujifunza lugha za kigeni tu (English,Kifaransa n.k)
Dunia nzima ukizowi ni changamoto ......wengi huupata kutokana na matumizi ma baya ya dawa ,maambukizi kwenye sikio,ajali viwanda ni n.k
.......
Hongera kwa 234KHainaga noma kamanda
......
Pori gn mbona yuko home tu?Sijui kuna nini huko porini
Ni hatari sana kuchokonoa sikio, ila watu wengi hawajui
Pia huyo mtoto anapooga jitahidi kulinda masikio yake yasiingie maji
