Makapuku Forum

Makapuku Forum

4e8a31610f54d511b8193161bd390129.jpg
f604359d372e2d853629745ebac8b5e5.jpg
Sio kwelii na majuzi walimzushia Essien kafariki kwa ajar
 
Its true,nina mjukuu wangu alikua na shida ya sikio tukampeleka kwa ENT doctor kama wk mbili zilizopita,akamcheki na kutuambia tu stop kusafisha masikio na coton buds,ear wax ni dawa inafanya sikio lijitibu,alikua hajaanza kuongea na usikivu duni tukawa hatuna amani lakini dokta ametuhakikishia ear wax ikirudi atakua vizuri,ukweli watu wengi wanawakwangua sana masikio watoto na zile cotton buds lakini kumbe sio jambo zuri ni kuacha tu labda uchafu uwe mlangoni unachuruzika
 
It true,nina mjukuu wangu alikua na shida ya sikio tukampeleka kwa ENT doctor kama wk mbili zilizopita,akamcheki na kutuambia tu stop kusafisha masikio na coton buds,ear wax ni dawa inafanya sikio lijitibu,alikua hajaanza kuongea na usikivu duni tukawa hatuna amani lakini dokta ametuhakikishia ear wax ikirudi atakua vizuri,ukweli watu wengibwanawakwangua sana masikio watoto na zile cotton buds lakini kumbe sio jambo zuri ni kuacha tu labda uchafu uwe mlangoni unachuruzika
Ni hatari sana kuchokonoa sikio, ila watu wengi hawajui

Pia huyo mtoto anapooga jitahidi kulinda masikio yake yasiingie maji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom