Makapuku Forum

Makapuku Forum

a44f4abaae745e2fb2668e4e1beb6b30.jpg

Mashabiki wa Njombe kuweni wazalendo vaeni jezi za timu yenu achaneni Simba na Yanga
Njombe jirani zetu msituangushe

Mimi Mbeya City
.
...
mby city aka bhana koma kumwanya

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Kosa kubwa ni kutaka kujilinganisha na akina fulani
Kuna mambo humu KF unaweza zunguka JF nzima na usiyapate
Kumbuka hata Pepsi ilimuiga coca cola lakini sasa ni mamia ya miaka hawajafanikiwa kulingana nao kwa ladha
Ukichunguza humu wengi ni watu wanaojotambua ndo maana hukuti mambo ya bora uzi ujae
........
 
Dikteta ana majukumu ya kikazi
Mimi Tangu J3 sipo vizuri kiafya ndo maana kumi kubwa siandiki pia kuna mambo yamebana
Trancescend kasema wazi kazi zimembana
Lee vitu vyake vipo pale pale
Obe Muziki upo km kawa
Shululu kila siku magazeti yapo
Jimena Kaziba pengo la Dikteta japo siyo sana
Shumie kuna majukumu yamembana
Kina Bailly, Husna Tumosa,Mama Mchungaji,Nyagei n.k mbona wapo mara mojamoja km kawaida yao

Ila pia akina Yuda hawajakosekana .....ndo hapo usemi wa pats shida umjue rafiki yako

Tukubali uzi upo kwenye kipindi kigumu na hii siyo mara ya kwanza kumbuka uzi una zaidi ya mwaka kinachofanya uonekana kwamba kumepoa sana ni uwepo wa uzi mwingine ambao unafanana na huu kila kitu yaani copy & paste .....hivyo km vile watu wanajisikia kulinganisha au kushindanisha kitu ambacho sisi hatujishughulishi nacho
Tuishi sisi km sisi no matter what
.............
Well said bro

Nategemea kuanzia J5 nitakuwa humu kwa amani kabisa

Dreams never end by fear
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom