Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Mie sijamboNzuri mpendwa, za kwako
Sent from my Infinix-X521 using JamiiForums mobile app
Mie sijamboNzuri mpendwa, za kwako
Ukizaliwa kiziwi mdomo utakuwa mzito maana mtu hujifunza kuongea kwa kuwasikiliza wengineIt true,nina mjukuu wangu alikua na shida ya sikio tukampeleka kwa ENT doctor kama wk mbili zilizopita,akamcheki na kutuambia tu stop kusafisha masikio na coton buds,ear wax ni dawa inafanya sikio lijitibu,alikua hajaanza kuongea na usikivu duni tukawa hatuna amani lakini dokta ametuhakikishia ear wax ikirudi atakua vizuri,ukweli watu wengibwanawakwangua sana masikio watoto na zile cotton buds lakini kumbe sio jambo zuri ni kuacha tu labda uchafu uwe mlangoni unachuruzika
Be blessed Sakayo
Zenji ni Nchi,kisiwa,mtaa au kijiji?Hapana Zenji hospitali umamos na jpili hazifunguliwi
Just the same to youBe blessed Sakayo
Thank youJust the same to you
Tumosa !![]()
![]()
maua kawekewa Mukongo
I see hii habari ya lini..napata shida kuamini!ngoja kwanza
Poleee ...Tumbo linakata nashindw Hadi kuongea vzr..
Ubarikiwe my dear Sakayi kwa baraka
PoleHabar zenu wakuu.
Mdogo wenu nipo hoi..
NdiyoKwani ww ni Obe
Hapana humu ndan usiku kuna ogofya
Panalindwa na Damu ya Yesu unajua,ulikuja na nini mpaka uogopeNjema za uzima mpendwa ,barikiwaHabari za j2 wapendwa
Za uzima nzuri dear,AmenNjema za uzima mpendwa ,barikiwa
Zenji ni Nchi,kisiwa,mtaa au kijiji?
Mbona kuna mambo ya ajabu wakati ni Tanzania hapa hapa
....
Poa poa madamVipi
Hata mbuyu ulianza kama mchicha...
Niko poa kabisa KatibuUko poaa ??