Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hongera Tanzania kwa 3rd place
10febd3a026f7a7e060ac760ed708a4f.jpg
 
Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
Nina imani baada ya muda ubize utapungua na tutaendelea kuwepo humu ndani kama zamani
 
Morning wapenzi hope mmeamshwa salama nawamiss sana jamaan

Natoka kidogo jf tutaonaona nikirudi kama baada ya week au viweek kadhaa nitazidi kuwamiss

Mungu azidi kuwaweka tupo pamoja

Mama mchuchu nilimpa sakayo ujumbe asubuhi naomba umtumie no yako mama nakupenda sana

Mungu awabariki sana sana

Kapuku kwangu ni zaidi ya familia
Nitakumis my shemeji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom