Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
Najua nina deni kubwa sana la Nukuu za leo..

Ila i will put my inputs if time will be on my side..
 
Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
Kiasi kumekuwa busy na majukumu ya hapa na pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom