Hataki makandeNdo aseme mwenyewe sasa maana akisema tu hajala nimwandalie madikodiko, makande pembeni
Namchapa kimya kimya tuu..Msalmie sakayo na utakapoanza kumchapa msisahau kufunga hayo madirisha hatutaki kufaidishwa sie
Nawasha nini?Sijambo
Naona unawashwa apo![]()
Jamilah achana nae utoto unamsumbua kitu kidogo ashamwambia dadakeOh, nilisahau nilijua na leo kuna meli nilipoona mtumbwi umejaza watu hapa. Ha hahahaha, nilipotimuliwa ulifurahi sana ila baadaye uliumia maana ikawa ngumu kwako kukutana na jamilah waliyekuwa wanasoma na Shakira kidato kimoja
MkuuSiku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena
Ni dalili kwamba Siku hizi watu majukumu yameonfezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kits fits mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya
.......
Sii uko kuchapanaNawasha nini?
Kimya kimya baasii....mwenzio atakuwa paradise muda sio mrefuSii uko kuchapana
Na 7/7 hii sasaAsante saaana Obe wa Husna
Umejua kunibamba ile kinomaaa
AmenMATHAYO 5
14.Ninyi ni nuru ya ulimwengu,Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.
15.Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi,bali juu ya kiango;nayo yawaangaza wote walio nyumbani.
16.Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu,wapate kuyaona matendo yenu mema,wamtukuze BABA yenu aliye mbinguni.
MBARIKIWE![]()
![]()
Acha utaniKweliiiii
Na mimi nasikitika next week naingia poriiiSiku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena
Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
SawaNamchapa kimya kimya tuu..
Wala majirani hamtasikia ..! Nahisi ni siri ya kitanda chetu tuu
Mimi nitakuwepo ila kwa sua sua hivi..Na mimi nasikitika next week naingia poriii
Haaaaahaaaa...nimejua kukubamba bila kukubambia na hapo ndipo utaipenda miziki ya bongo fleva. Enzi zile bongo flevaz wanakula bangi tu na sio ngada
Pika kazi tuMkuu
Mimi kweli majukumu yameongezeka nawaza sana namna ya kubalance mambo ila unakuta saa 3 usiku ndio napata time ya kupita huku..
Ila huku sitoweza kuleft..