Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
 
Oh, nilisahau nilijua na leo kuna meli nilipoona mtumbwi umejaza watu hapa. Ha hahahaha, nilipotimuliwa ulifurahi sana ila baadaye uliumia maana ikawa ngumu kwako kukutana na jamilah waliyekuwa wanasoma na Shakira kidato kimoja
Jamilah achana nae utoto unamsumbua kitu kidogo ashamwambia dadake
 
Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba Siku hizi watu majukumu yameonfezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kits fits mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya
.......
Mkuu

Mimi kweli majukumu yameongezeka nawaza sana namna ya kubalance mambo ila unakuta saa 3 usiku ndio napata time ya kupita huku..

Ila huku sitoweza kuleft..
 
MATHAYO 5

14.Ninyi ni nuru ya ulimwengu,Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

15.Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi,bali juu ya kiango;nayo yawaangaza wote walio nyumbani.

16.Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu,wapate kuyaona matendo yenu mema,wamtukuze BABA yenu aliye mbinguni.

MBARIKIWE
Amen
 
Siku hizi kuna Mchawi nini?
Ubize ulianza kwa Nyagei,ukafuata Transcend,ukaja kwa Dikteta,ukahamia kwangu kisha ukatua kwa Shumie na pia kwa Jimena

Ni dalili kwamba siku hizi watu majukumu yameongezeka hivyo watu hawawezi kushinda sana JF
Ni jambo jema kutafuta mawe halafu mtu ukipata muda unajichanganya kama One ambaye ambaye mida yake jioni/usiku tu
.......
Na mimi nasikitika next week naingia poriii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom