AlphaPii
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 1,169
- 1,853
imenivutia sana.I love you my wife..
Ili iweje?
aaaarghrii samahani mkuu shemeji.
imenivutia sana.I love you my wife..
Ili iweje?
Na wewe ndio fimbo yanguYaaaani wewe ndio kiboko yangu...
Kwani demi leo umemuona humuSwali zuri sana
Sijambo mpendwa wanguha hahahahah, ilikuwa poa sana enzi hizo za nipe gwala.
Hujambo lakini mpendwa.
AmenMATHAYO 5
14.Ninyi ni nuru ya ulimwengu,Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.
15.Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi,bali juu ya kiango;nayo yawaangaza wote walio nyumbani.
16.Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu,wapate kuyaona matendo yenu mema,wamtukuze BABA yenu aliye mbinguni.
MBARIKIWE![]()
![]()
Umeonaee...nimejua kukubamba bila kukubambia na hapo ndipo utaipenda miziki ya bongo fleva. Enzi zile bongo flevaz wanakula bangi tu na sio ngada
Porin ni nusu mwakaHuko porini utatoka ln
Vodka hiziiiEeeh...Tumosa ni mke mwenzako?![]()
Tulichat tuu![]()
![]()
hope kashakupigiaa
Umenikumbusha dr my lecturer ...alikuwa anaupenda huu msemo na ulitutesaa
naiangalia tu,,,inaonekana inawakilisha jnsi ulvyo.Ichukue tuu mkuu
Nimefurahi inatoshaBH, nimefurahi kukuona hapa leo. Unataka niseme nini kingine ambacho hujakisikia toka kwangu?