Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sawa muke ya Lacazette
f5969071393190ef723288908a13a7ff.jpg
kumbe ni ke!
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako


...siku tatu tu ndo hutoingia humu protesting kutokuonekana kwa shedede , okay.

Na sababu ya kuchagua siku tatu ni Nini? Kwanini isiwe siku moja, mbili , au 7?

Je nikijiaminisha kuwa leo bando lako limeisha hivyo utareload siku tatu nitakuwa nimekosea?

Anyway hata sielewi najiuliza maswali mengi ya nini wakati leo ni Furahiday.
 
...siku tatu tu ndo hutoingia humu protesting kutokuonekana kwa shedede , okay.

Na sababu ya kuchagua siku tatu ni Nini? Kwanini isiwe siku moja, mbili , au 7?

Je nikijiaminisha kuwa leo bando lako limeisha hivyo utareload siku tatu nitakuwa nimekosea?

Anyway hata sielewi najiuliza maswali mengi ya nini wakati leo ni Furahiday.
 
Humu kuna mtu kapatwa na tatizo au
Mbona sijaelewa maana siku hizi ziingii sana nina ishu imekaba
Nijuzeni hata kwa ufupi tu
.....
Kuna tatizo mdau,Shunie kaaga asubuhi anatoka kwa muda,atarudi..ukweli imetushtua kutokana na mazoea na namna Shunie alivyo mshiriki mzuri,nilitamani kujua sababu hajaiweka wazi kwa mtu yoyote,kila mtu amekua anauliza so tumeona jambo jema tumuombee..kuna wakati mtu anahitaji time alone..imsadie kumpa amani na kuweka mambo yake sawa kiakili,kiroho nk hivyo tuungane kumwombea apate amani..asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom