Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna tatizo mdau,Shunie kaaga asubuhi anatoka kwa muda,atarudi..ukweli imetushtua kutokana na mazoea na namna Shunie alivyo mshiriki mzuri,nilitamani kujua sababu hajaiweka wazi kwa mtu yoyote,kila mtu amekua anauliza so tumeona jambo jema tumuombee..kuna wakati mtu anahitaji time alone..imsadie kumpa amani na kuweka mambo yake sawa kiakili,kiroho nk hivyo tuungane kumwombea apate amani..asante
Basi tuheshimu faragha yake
Tumuombee amalize tatizo linalomkabili salama
Alipoandika Kimario sikuelewa kitu maana meseji za nyuma sikusoma
......
 
9919a3ac64602f055e6772d6adcf2e2b.jpg



Naendelea kuuwa vijidudu vya Cancer..

Take some wine, get some wisdom
 
...siku tatu tu ndo hutoingia humu protesting kutokuonekana kwa shedede , okay.

Na sababu ya kuchagua siku tatu ni Nini? Kwanini isiwe siku moja, mbili , au 7?

Je nikijiaminisha kuwa leo bando lako limeisha hivyo utareload siku tatu nitakuwa nimekosea?

Anyway hata sielewi najiuliza maswali mengi ya nini wakati leo ni Furahiday.
 
Kuna tatizo mdau,Shunie kaaga asubuhi anatoka kwa muda,atarudi..ukweli imetushtua kutokana na mazoea na namna Shunie alivyo mshiriki mzuri,nilitamani kujua sababu hajaiweka wazi kwa mtu yoyote,kila mtu amekua anauliza so tumeona jambo jema tumuombee..kuna wakati mtu anahitaji time alone..imsadie kumpa amani na kuweka mambo yake sawa kiakili,kiroho nk hivyo tuungane kumwombea apate amani..asante
 
Kuna tatizo mdau,Shunie kaaga asubuhi anatoka kwa muda,atarudi..ukweli imetushtua kutokana na mazoea na namna Shunie alivyo mshiriki mzuri,nilitamani kujua sababu hajaiweka wazi kwa mtu yoyote,kila mtu amekua anauliza so tumeona jambo jema tumuombee..kuna wakati mtu anahitaji time alone..imsadie kumpa amani na kuweka mambo yake sawa kiakili,kiroho nk hivyo tuungane kumwombea apate amani..asante
Atarudi soon kuna mambo anayaweka sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom