Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 34

3.Mtukuzeni BWANA pamoja nami,na tuliadhimishe jina lake pamoja.

4.Nalimtafuta BWANA akanijibu,Akaniponya na hofu zangu zote.

Kumtafuta MUNGU kuna malipo...na kila umtafutapo utamuona..utamuona MUNGU kila wakati,maana hata kuamka kwako ni MUNGU si kwa ujanja wala akili zako ni MUNGU ndiye amekupa pumzi hii na hata umeweza kuuona tena muandiko huu,bila yeye HUWEZI

Basi ndugu yangu,rafiki yangu,mpendwa wangu,KAPUKU mwenzangu jiunge nami,ungana nami asubuhi ya leo TUMTUKUZE,TUMSIFU,TUMSHUKURU ,TUADHIMISHE JINA LAKE ..maana ametupa tena NEEMA hii ya Kuiona siku ya leo BURE...ndiyo ..ni ..BURE..JE ? Mwenzangu umelipia chochote?

Pamoja na kutuamsha salama ahadi yake MUNGU kwetu ni kuwa TUKIMTAFUTA .Atatujibu,Atatuponya na HOFU zetu zote..UNA HOFU Gani?

HAKUNA HOFU ISIYOJIBIWA NA MUNGU...MKABIDHI MAISHA YAKO ...

TUOMBE

ASANTE BABA kutuamsha salama,tutakase,tuongoze tufundishe kukutegemea ,tuponye tuhuishe,tubariki..ondoa HOFU zote Mfalme wa Amani ,wewe ni MUNGU USIYESHINDWA,HUJAWAHI KUSHINDWA,HUTASHINDWA..WEWE NI MWANZO WEWE NI MWISHO...Maana umetutoa mbali from ZERO TO HEROES...ASANTE BABA MAANA utatenda kila kitu sawa na mapenzi yako .

Tunaomba tuepushe na hatari za mwili na roho,tuepushe na mitego ya shetani kiburi cha uzima kisituangushe na kutukosesha mbingu,wivu,masengenyo,hasira,uchungu,kukata tamaa havina nafasi kwetu maana sisi ni wathamani ulituumba kwa mfano wako kwa ajili yako si kwa ajili yetu hivyo BABA tunapaswa kukutukuza.

Ponya wagonjwa mahali hapa,fariji wafiwa,wapweke,yatima ,wajane na waliovunjika moyo..ponya majeraha yote BABA katika wewe tuwe washindi .Roho Mtakatifu tuongoze katika yote.
Tunaomba yote katika jina la Yesu Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE
Amen

Nawe pia mamii
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako
 
Unbelievable facts. ..

47938a2ffbfb3acdb261036577ada1f7.jpg
Mh!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom