Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unbelievable facts. ..

47938a2ffbfb3acdb261036577ada1f7.jpg
Aisee
 
MATHAYO 5

3.Heri walio masikini wa roho,maana ufalme wa mbinguni ni wao.

4.Heri wenye huzuni Maana hao watafarijika.

Mpendwa usiku wa leo naomba nikwambie,hata kama unapitia mateso gani kama hujamuacha MUNGU Ufalme wa Mungu ni wako na utafarijika..usimwche MUNGU kwa ajili ya shida yoyote..ng'ang'ania kwake

USIKU MWEMA DAMU YA YESU ITUFUNIKE
Amen
 
Taarifa ya Matatizo ya Kiufundi

wadau, nasikitika kwa kipengele cha Muziki kutotimiza lengo lake kikamilifu. Maandishi yalikuwa sahihi sema muziki ulitatiza, nilifanya ninachofanya kila siku kuweka muziki.

Nimekuwa na experience some net interruptions na ninajaribu kufuatilia hiki maana kinanikosesha mambo mengi ikiwemo kipengele hiki ninachokipenda.

Naiweka tena clip hii (YouTube) ya historia ya Shaaban Dede

Naamini itakaa sawa sasa


Nawashukuru sana lee empire , shululu ,BlessedHope , Tumosa , husna muba kwa kushare nami mlichokutana nacho. Na wadau wote mnaofuatilia KF


Kumbe sikuwa wrong mtaasisi maana nilitupia kitu kile kile
 
Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede

Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu

Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa

Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake

Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho

Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako
Long time brother How are you?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom