BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Nakuombea..kama unafunga na kuomba ili Mungu akupe majibu tushirikishe...naamini kuna jambo unaenda kulileta kwa siku tatu.popote ulipo kaka Mungu akutangulie.Wakuu kumekucha salama Jana nimeahidi kutoa msimamo wangu juu ya kuto kumwona afande shedede
Sasa nimeamua kuto kuingia jukwaani hapa kwa siku tatu
Kuonyesha kuwa alicho kufanya husna kumtelekeza afande wakati aliacha kazi kwaajili yake ili awe karibu nae sasa katelekezwa
Na mzee wa saa mpya umejichukulia shemeji yako bila hata kumhurumia afande na maumivu yake
Leo nasema kuwa tu kila jambo na wakati wake Fanya kila kitu kwa manufaa ya Leo na kesho
Nawaacha na utafiti hewa : uvivu wako ndo chanzo cha umaskini wa familia yako