Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Haaaaahaaaa thubutu![]()
mchepuko wako ulee
Tuna mpango Wa kukuvizia tuwapige mwajala tumosa apate Mke mwenzie
Hayati Dede nadhani,umeshindaje Obe ubarikiwe
HayaLeo umpe wewe
DedeHabari nzuri Sakayo, heshima kwako pia.
Nyimbo za Dudu Baya aka Ng'wina yaani Mamba nitaziweka bila shaka, lets say kesho leo tumwangalie mwanamuziki wa bendi aliyefariki mapema wiki hii? Unamjua lakini?
Umenikumbusha mbaliiiNimeshinda salama sana BH wangu, u hali gani wewe ninayekuwaza kila wakati.
Yeah ni Dede Shaaban, sisi wazee wa Bakulutu ni pigo kubwa sana maana kila Ijumaa pale jirani na Bills tulikuwa tunakaa kkuwasikiza na kuburudika

Cc ObeNayasubiri..
Niko poa kabisa my swi, ndio nakaribia nyumbaniUmeshindaje leo
Simu aliyonayo namuonee huruma. ...Cc Obe
Unamuona mkwe wangu,amesahau yoteee hata tu kuniomba radhi kwa aliyomfanyia mwanangu...sio vizuri kuingilia ila tumbo linaumaaaa..najua mwanangu hana raha....lakini huyu mkwe wangu wala haoni kuwa nimeona na naumia...namwomba sana Mungu anisaidie na amsaidie yeye kuponya haya majeraha.
Achana naye huyoKwani nimekujibu vibaya kijana?
Au umejishtukia
Feel OK
Karibu tena
...........
Karibu sanaNiko poa kabisa my swi, ndio nakaribia nyumbani
Mke mweee yuko wapi shemelaSimu aliyonayo namuonee huruma. ...
Nisamehe binamu ntakubadirishia simu
Sijambo mpendwa mi kigoma one we wapi?!Njoo tupeane mwajala, kumbe kigoma one eehe?
Hujambo wangu?
Inaumiza sana..Apumzike kwa Amani...njia yetu ni moja..ni wiki ngumu kwetu ..ila Mungu ndiye msemaji wa yote maana yeye ni mkamilifu..Nimeshinda salama sana BH wangu, u hali gani wewe ninayekuwaza kila wakati.
Yeah ni Dede Shaaban, sisi wazee wa Bakulutu ni pigo kubwa sana maana kila Ijumaa pale jirani na Bills tulikuwa tunakaa kkuwasikiza na kuburudika
Yy anafikiri unafurahia hajui unaumia,Lee muombe msamaha mama Mchungaji ulichomfanyia mwanae hajapenda kwa kweliUnamuona mkwe wangu,amesahau yoteee hata tu kuniomba radhi kwa aliyomfanyia mwanangu...sio vizuri kuingilia ila tumbo linaumaaaa..najua mwanangu hana raha....lakini huyu mkwe wangu wala haoni kuwa nimeona na naumia...namwomba sana Mungu anisaidie na amsaidie yeye kuponya haya majeraha.