Makapuku Forum

Makapuku Forum

...kwenye ufalme wataingia walio watakatifu, wasafi na wanaotoa sadaka. Ijumaa tukikutana pale bar njoo na hela kabisa nikuuzie vitambaa vyeupe vimeombewa na mtume, nabii na injinia wa kule Naija. Wewe kwa kuwa ni mjomba wangu nitakupa ofa, unaweza kuanza kulipa kwa awamu.

Usitumie ile namba ya Voda (unamjua aliyeichukua). Andika EMO
Haaaaahaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom