Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Mpendwa wa ObeNdio nzuri hiyooo
Kugonga watoto Wa watu mnapenda kuwaoa hamtaki
MwajAla itakuhusu
Mpendwa wa ObeNdio nzuri hiyooo
Kugonga watoto Wa watu mnapenda kuwaoa hamtaki
MwajAla itakuhusu
....kisha nikaona farasi mweupe ana pembe saba nae aliempanda anang'aa km jua......
Amen....kisha nikaona farasi mweupe ana pembe saba nae aliempanda anang'aa km jua......
Kwani nimekujibu vibaya kijana?kila kitu ukichukulia serious humu utaumiza kichwa bure kijana.. Wengine humu tunatafuta furaha tu so nikiwa nazingua watu kama hiv nafurah tu.
Vipi hali Husna? BarikiwaSwalamaaa
Sawa kabisa tena ikibidi njoo na pafyumu nivipulizieee...kwenye ufalme wataingia walio watakatifu, wasafi na wanaotoa sadaka. Ijumaa tukikutana pale bar njoo na hela kabisa nikuuzie vitambaa vyeupe vimeombewa na mtume, nabii na injinia wa kule Naija. Wewe kwa kuwa ni mjomba wangu nitakupa ofa, unaweza kuanza kulipa kwa awamu.
Usitumie ile namba ya Voda (unamjua aliyeichukua). Andika EMO
Njema dada ulipo kwijangasyaSalama kaka hbr ya uzima
Makapuku naona kama utawala wenu unaelekea kuangushwa na wazee wa kupeana likes

Mtu akija kuzingua sisi tunamjibu vizuri tu mwisho yeye anajiona alichofanya ni ujinga tofauti na matarajio yake kwamba tutapovuka na kuzinguana naeUjumbe kaupata huyu harudi tena na ujinga wake hapa
Hayati Dede nadhani,umeshindaje Obe ubarikiweHabari nzuri Sakayo, heshima kwako pia.
Nyimbo za Dudu Baya aka Ng'wina yaani Mamba nitaziweka bila shaka, lets say kesho leo tumwangalie mwanamuziki wa bendi aliyefariki mapema wiki hii? Unamjua lakini?
![]()
mchepuko wako ulee
Tuna mpango Wa kukuvizia tuwapige mwajala tumosa apate Mke mwenzie

Kwani kuna mashindano?
Kila mtu afanye anavyojisikia
Kwani JF uzi ukiwa na post/wachangiaji wengi kuna malipo au mtu akiwa na like nyingi analipwa?
Sisi tuna maisha yetu na hatuwezi kushindana kupost JF na hata uzi kwa siku uwe na post 7 hakuna hasara yoyote ilimradi mawe yanaingia mfukoni mwetu
Ingependeza zaidi post yako Hii ungepost huko maana ungeongeza like na wingi wa post
![]()
![]()
![]()
........

siwezi kupanic kwenye vitu kama hivi.. Na Makapuku nitaendelea kuwepo kama kawaida na nitachangia kama kawaidaSasa kama hauko serious mbona umepaniki mkuu
Habari nzuri Sakayo, heshima kwako pia.
Nyimbo za Dudu Baya aka Ng'wina yaani Mamba nitaziweka bila shaka, lets say kesho leo tumwangalie mwanamuziki wa bendi aliyefariki mapema wiki hii? Unamjua lakini?

Akwende zakeeKwani nimekujibu vibaya kijana?
Au umejishtukia
Feel OK
Karibu tena
...........
...ukianza kuweka weka mistari ya Ufunuo hivi utawapa shida sana wanaopanga kukutongoza na kuwarahishia kazi wazee wa vitabu vya Daniel na Ufunuo, unawajua (joke)

Basi waache wafanye yao
Sisi tilikiwepp tupo na tutaendelea kuwepo
.........

Mpe maua jamaaaanHayati Dede nadhani,umeshindaje Obe ubarikiwe
Sawasiwezi kupanic kwenye vitu kama hivi.. Na Makapuku nitaendelea kuwepo kama kawaida na nitachangia kama kawaida