Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji57] [emoji57] [emoji57]
8bda88233d74f47e8c8d75c8ef29a31c.jpg
 
Unamuona mkwe wangu,amesahau yoteee hata tu kuniomba radhi kwa aliyomfanyia mwanangu...sio vizuri kuingilia ila tumbo linaumaaaa..najua mwanangu hana raha....lakini huyu mkwe wangu wala haoni kuwa nimeona na naumia...namwomba sana Mungu anisaidie na amsaidie yeye kuponya haya majeraha.
4c91df659b9e4937e8a3d91884ef29da.jpg



[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mjomba yaani wewe unataka niwehuke kabisa, yaani unajua kabisa nikipata maua toka kwa BH mtanikamatia Kibiti, mbio zake chizi au harmorapa kasingiziwa. Zitakuwa mbio za furaha lakini😀
Hata sasa unafuraha...huwa nakufurahia sana..Mungu akutunze Obe.unaishi katika mioyo ya wengi..Asante kwa upendo
 
Back
Top Bottom