BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hamfahamiani na mpendwa wakoSijambo mpendwa mi kigoma one we wapi?!

Hamfahamiani na mpendwa wakoSijambo mpendwa mi kigoma one we wapi?!

Tununu dada kutwimakiNijangwesye kaka utwa uko
Mpe maua jamaaaan
Achana nao mkuuWao ndo wanaangahika na sisi
Sisi hatujishughulishi na mtu
Inashangaza
..........
Huyo ndiye Lee.
Tumbo linaniumaaaaaaaaYy anafikiri unafurahia hajui unaumia,Lee muombe msamaha mama Mchungaji ulichomfanyia mwanae hajapenda kwa kweli
Unamuona mkwe wangu,amesahau yoteee hata tu kuniomba radhi kwa aliyomfanyia mwanangu...sio vizuri kuingilia ila tumbo linaumaaaa..najua mwanangu hana raha....lakini huyu mkwe wangu wala haoni kuwa nimeona na naumia...namwomba sana Mungu anisaidie na amsaidie yeye kuponya haya majeraha.

Hata sasa unafuraha...huwa nakufurahia sana..Mungu akutunze Obe.unaishi katika mioyo ya wengi..Asante kwa upendoMjomba yaani wewe unataka niwehuke kabisa, yaani unajua kabisa nikipata maua toka kwa BH mtanikamatia Kibiti, mbio zake chizi au harmorapa kasingiziwa. Zitakuwa mbio za furaha lakini😀
Leo zamu yake anapikaa....simu ninayoo mmMke mweee yuko wapi shemela
Yy anafikiri unafurahia hajui unaumia,Lee muombe msamaha mama Mchungaji ulichomfanyia mwanae hajapenda kwa kweli
Shabani dedeHabari nzuri Sakayo, heshima kwako pia.
Nyimbo za Dudu Baya aka Ng'wina yaani Mamba nitaziweka bila shaka, lets say kesho leo tumwangalie mwanamuziki wa bendi aliyefariki mapema wiki hii? Unamjua lakini?
Mwisho wa reliSijambo mpendwa mi kigoma one we wapi?!
Sema taratibu wabaya wetu wasisikiee ...kasema anakupaaMjomba yaani wewe unataka niwehuke kabisa, yaani unajua kabisa nikipata maua toka kwa BH mtanikamatia Kibiti, mbio zake chizi au harmorapa kasingiziwa. Zitakuwa mbio za furaha lakini😀
Hamfahamiani na mpendwa wako![]()
![]()
![]()
Polee mama mchuchu ...vipii dawa umepataa ??Tumbo linaniumaaaaaaaa
NimemuonaHuyo ndiye Lee.