Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usichokijua ni kwamba JF ni sehemu nzuri kwa wenye akili kubwa.....wanatumia fursa
Wapo wanaolipwa ili washinde JF
Wapo wanaopiga pesa kupitia JF
Wapo wanaofanya utapeli kupitia JF
Wapo wanaofanya biashara kupitia JF
Wapo wansoshinda zjf ili kupata maarifa n.k

Sasa wenye akili ndogo wanashindana kupost,kupeana like,kutukana ,kutafuta umaarufu n.k

Sisi lengo kuu urafiki na kupeana maarifa na pia kila mtu ana lengo lake Binafsi mfano mimi kuna kitu nimekigundua na nitajaribu kukifanya muda sio mrefu
........
 
Binamu nimeona ...ila muhimu unikumbuke kwenye ufalme ....


Nilifika salama sorry mambo mengi nilisahau update


...kwenye ufalme wataingia walio watakatifu, wasafi na wanaotoa sadaka. Ijumaa tukikutana pale bar njoo na hela kabisa nikuuzie vitambaa vyeupe vimeombewa na mtume, nabii na injinia wa kule Naija. Wewe kwa kuwa ni mjomba wangu nitakupa ofa, unaweza kuanza kulipa kwa awamu.

Usitumie ile namba ya Voda (unamjua aliyeichukua). Andika EMO
 
Usichokijua ni kwamba JF ni sehemu nzuri kwa wenye akili kubwa.....wanatumia fursa
Wapo wanaolipwa ili washinde JF
Wapo wanaopiga pesa kupitia JF
Wapo wanaofanya utapeli kupitia JF
Wapo wanaofanya biashara kupitia JF
Wapo wansoshinda zjf ili kupata maarifa n.k

Sasa wenye akili ndogo wanashindana kupost,kupeana like,kutukana ,kutafuta umaarufu n.k

Sisi lengo kuu urafiki na kupeana maarifa na pia kila mtu ana lengo lake Binafsi mfano mimi kuna kitu nimekigundua na nitajaribu kukifanya muda sio mrefu
........
kila kitu ukichukulia serious humu utaumiza kichwa bure kijana.. Wengine humu tunatafuta furaha tu so nikiwa nazingua watu kama hiv nafurah tu.
 
706d4e1f7423d5732c940e9753122078.jpg
adb9837327c1503572b133e89b20e2cf.jpg

Baba alishindwa vita dhidi ya Saddam
Mtoto akaja kulipiza na kumuua kabisa Saddam
Baba alitawala kipindi kimoja
Mtoto akatawala vipindi viwili ilakwa uchaguzi uliojaa mizengwe

Sijawahi kuwakubali
.........
Mi nawakubali nje ndani
 
Usichokijua ni kwamba JF ni sehemu nzuri kwa wenye akili kubwa.....wanatumia fursa
Wapo wanaolipwa ili washinde JF
Wapo wanaopiga pesa kupitia JF
Wapo wanaofanya utapeli kupitia JF
Wapo wanaofanya biashara kupitia JF
Wapo wansoshinda zjf ili kupata maarifa n.k

Sasa wenye akili ndogo wanashindana kupost,kupeana like,kutukana ,kutafuta umaarufu n.k

Sisi lengo kuu urafiki na kupeana maarifa na pia kila mtu ana lengo lake binafsi
Mfano mimi kuna kitu nimekigundua kupitia Jf na nitajaribu kukifanya muda sio mrefu
........
Hakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom