Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bhinamu heshima yakooo


Mjomba nakusalimu kwa heshima zote, na ninakushukuru kwa simu isiyokuwa na chip, yaani umenipa simu ofisini kwako kuna Wi-Fi na nyumbani kwako wifi yake Shunie kajaa tele sasa full network sasa leo nimetoka kidogo tu basi hata network hakuna yaani hapa nimekaa ca'fe ndo naandika.

mzima lakini
 
Back
Top Bottom