Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hongera kichwa cha mwendawazimu
Kweli nimeamini Chizi haponi hutuliza mzuka tu
+
=
![]()
![]()
![]()
![]()
......

Hongera kichwa cha mwendawazimu
Kweli nimeamini Chizi haponi hutuliza mzuka tu
+
=
![]()
![]()
![]()
![]()
......

Mayanja ana hali gn?!Mpira wa timu yetu ni ngumu kuuelewa
Sasa bhinamuu mambo ya muuza shurubati wetu yamekujajee apa ?? Naulizaa tuNilifanikiwa ila wewe kwa nini ulienda sasa kwa yule dada wa kiarabu muuza shurubati? Hivi ni mwarabu au mpemba yule maana si kwa mbwembwe zile
Mbona unacheka dadangu
Muziki: KKB
Leo napata ugumu kusalimia kwa maneno, tupeane tano ngumu ngumu kuashiria kuwa tumekuwa na siku nzuri kabisa siku ya leo bila kujali nini kilijiri kwa uzuri au ubaya. Nitakuwa faster leo maana mchana mzima beki zimekuwa hazikabi ipaswavyo hivyo imebidi kocha niingie uwanjani dakika za majeruhi angalau kutafuta droo, yeah, sio droo utie nguo na makorokoro bali sare angalau asubuhi staftahi ipatikane.
Ni bahati mbaya sana kusikia member mwenzetu keshakuwa mwendazake (RIP), ndo maisha hayo nasi hatuna cha kuzuia maana ardhi ni kubwa sana, akizikwa yeye si kwamba atatumalizia nafasi, makaburi hayajajaa kutufanya sisi tusife. Inauma sana. Pole kwetu
Sijui ni upepo wa kusi au kasi umepita nami leo nilitaka kuweka nyimbo ya 'kitotototo' yaani kucheza mwanzo mwisho unaelewa huelewi ilimradi tu vyombo vya muziki vinaposikika unajisikia kutingisha mwili na hasa mguu, usitingishe kiuno, bado ni mapema sana na ada zinazidi kupanda kila siku. Sakayo asante kwa uchaguzi huu
Mr Nice na si Mr Noise ndiye atakayetuburudisha leo, sina mengi juu yake maana ukiona Diamond ang'ara leo jua kuwa Mr Nice aliisimamisha Afrika Mashariki na Kati, hakuacha hata kitongoji kimoja katika nchi saba zinazotuzunguka. Wazazi iliwabidi watunge maneno ili kuwaelewesha watoto kuwa kuku akipanda baiskeli ujue anaenda kuchinjwa.
Hadi wakati mwingine. Nakupenda kapuku mwenzangu sababu wewe ni mtu muhimu humu, heshima yako sana
KKB- Kuku kapanda Baiskeli
Nimeona aiseeAsubui nilisemaje?
We ukasema tusubiri mechi umeona kilichotokea?!
SanaMayanja ana hali gn?!
Ahahhh yupo kinyerezi hataki kuitwa mwanaume wa darMwache aende hataki wageni
AiseeeeAsanteee umetukumbusha mbali
Asante sakayo
Mie napenda mahindi bila chumvi wala pilipili binamu...ndimu na chumvi iliyoungwa na pilipili binzari itakufaa usichomeshwe tu mahindi ukashindwa hata kuyaonja
Aiseeee obee
Asante mnoo....
Uzuri wakooo unanipa kiweweeeeee nifanye niniiii ili niwe na weweweeeeee

Najitawala na nini mie jamaanKwa kuwa sipo unajitawala
Umetukimbia shemela yaan wewe ila nataka nikuone ujueSijawakimbia shemela
Mjomba nakusalimu kwa heshima zote, na ninakushukuru kwa simu isiyokuwa na chip, yaani umenipa simu ofisini kwako kuna Wi-Fi na nyumbani kwako wifi yake Shunie kajaa tele sasa full network sasa leo nimetoka kidogo tu basi hata network hakuna yaani hapa nimekaa ca'fe ndo naandika.
mzima lakini

Nmesahau hata kilichonichekeshaMbona unacheka dadangu