Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ndio tangu pale hakuingia mpaka hii habari mbaya inatujiaNiliona pale masikini na ibra alikuwa hajaingia jf
So sad siku yake ilifika
Ndio tangu pale hakuingia mpaka hii habari mbaya inatujiaNiliona pale masikini na ibra alikuwa hajaingia jf
Mkuu mi hapa naomba dada shunie atupe jibuHivi wakojee... Mie hapo tuu ndo walinishinda tabia kwa kweeli... Hawawazi chochote wale watu kabisaa...
Kwa nini tena mdogo wangu... Mr Nice hahahaa... Obe niweke wimbo wanguUnanichekesha ujue
KuumbeLakini kuna karatasi pale ilionekana ya hosp kigamboni...ilionesha dalili za Cardiac...akaandikiwa apime ECG,ECho,na vidonda vya tumbo kigamboni vipimo hv hakuna sasa sijui alipima,na ni kweli dalili hz hufanana na pumu...mimi mwenyewe nina mwezi hv nilipata mild attach wakadhani ni cardiac..ambayo ni moyo ,nikapima vipimo hivyohivyo..namshukuru Mungu kuna dawa nilipewa..unabanwa kabisa....kichomi kikali kushoto..kupumua huwezi..niliwekewa nebulizer...wapi..then oxygen..ila Mungu mwema naendelea vizuri ukipata attach hz lazma upate huduma haraka...
Watajua wenyewe kaka ndio walivyoumbwa wasubilie tu kulelewaMkuu mi hapa naomba dada shunie atupe jibu
Kwa nini tena mdogo wangu... Mr Nice hahahaa... Obe niweke wimbo wangu
binamu tumemmiss zilipendwa wetu weka banaKatibu mipango wa Makapuku nipo hapa.. Hakuna kujipendekeza kwa mtu tunaamini tuna ubora kuliko wao... Hapa ni muda wa makapuku kusimama na kung'aa... No shobo no Ufagio
Nzuri..sasa nina cherehani moja, bado tatu nikamilishe kiwandaNjema mkuu habari za ujenzi wa viwanda
HahahaDada basi uwe unamkumbuka jamaan japo kumtumia halopesa ujue kama ulikulamo![]()
Vyote vyoteUmependwa au amekutaman?
Hahaha![]()
![]()
binamu tumemmiss zilipendwa wetu weka bana
Sawa dadaWala usihoji we mtu mzima kaka acha wavamie
Akiii nacheka sana ujueHahaha
Tatizo namba zake aliniandikia kwenye diary.. Sa ilipotea sasa
umekumbuka kuku wako kapanda baiskeli
Ibra binamu alikuwa humu mwanzoni ila baadae akawa mtunzi wa story
Usiofu ni hali inayotutokea binadamu ...Kumbe!!
Sawa ila ungenipitia tu maana mi naenda kulala kongoweNipo mizani ya zamani, 50 mtrs nakata kona ya kuelekea home