Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahaaaa!Naongea main content tu,nataka niwe naww hapa tafadhari nipokee..

kutongoza ni kazi eeh?Hahaaaa!Naongea main content tu,nataka niwe naww hapa tafadhari nipokee..

kutongoza ni kazi eeh?Emmyta kafanyaje naye?Hahaha
Watakuwa walizogoa kwenye uzi wa watu
Hahaaaa!
kutongoza ni kazi eeh?
Good morning family. ..weekend ndo hiyo tunaisogeza ...
Soon simulizi na UF ...
Yap nilikua nakuulizia,naona ww ni mgeni humu halaf nilikua nasiku siingii humu nadhan hunijua..Am mond..Nahitaji tutengeneze comb ya mm na ww..

UshapendwaaHii mpya..
Duuuuh ngoma ishafikaa 20lee empire nakuomba ukianza kutupia Story please nakuomba unitag maana leo ndio nimefaham kua humu huwa kuna hadithi..
Muda wangu uko tight sana nashindwa kufaatilia vitu vingine..
-Mond-
Hao wenye mababy zao mimi ni mshauri wao wa ndoa
na wao watakuwa washauri wako
Akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kyaSorry hua sina ujasir wa kuongea mbele za watu please labda uje pm.
Naomba uwe Love wangu