Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/James Hogue
67be2789e4552cab582b436088600ae9.jpg
2230942663ce90a2d55ae425f442b61a.jpg
Alizaliwa 1959
Huyu bwana alifanya udanganyifu wa vyeti ili asome Princeton University kama alichofanya Daudi Bashite huku bongo ila huyu mzungu ndo kiboko
Kwanza kabisa alitengeneza/iba vyeti vya marehemu wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari huko Nevada kisha akajifanya pia ni yatima kwa vyeti vingine na kufanikiwa kugusa "Mlimani" tena kwa kusoma km yatima na hivyo kupiga assist sehemu kibao ila mwaka wa kwanza tu akaharibu baada ya kuiba baiskeli
Ila mwisho wa Siku utambulisho wake halisi ukagundulika mwaka 1991
......
 
7/Eduardo de Valfierno
d5e8ff95cc4c660e50716ac7728dcf4a.jpg
b33e3ace6487a1e6e5e16bba2cf100d9.jpg

Huyu ni tapeli wa Kiargentina
Huyu bwana ndo aliyefanikisha kuibwa kwa picha ya Monalisa
Alijifanya Marquis na kutafuta watu na kuwalipa kisha wakaiba picha ikiwa Makumbusho mwaka 1921
Baada ya aliyemtuma kuiba na kusepa huyu jamaa akala kamisheni na watunzaji na kutoa kopi 6 za picha hiyo
Na msala ulikuwa mrefu kiasi Ni ngumu juuelezea wote
.......
 
8/James Hogue
67be2789e4552cab582b436088600ae9.jpg
2230942663ce90a2d55ae425f442b61a.jpg
Alizaliwa 1959
Huyu bwana alifanya udanganyifu wa vyeti ili asome Princeton University kama alichofanya Daudi Bashite huku bongo ila huyu mzungu ndo kiboko
Kwanza kabisa alitengeneza/iba vyeti vya marehemu wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari huko Nevada kisha akajifanya pia ni yatima kwa vyeti vingine na kufanikiwa kugusa "Mlimani" tena kwa kusoma km yatima na hivyo kupiga assist sehemu kibao ila mwaka wa kwanza tu akaharibu baada ya kuiba baiskeli
Ila mwisho wa Siku utambulisho wake halisi ukagundulika mwaka 1991
......
Ila sasa huyu Bashite nae alikuwa mpuuzi. Sasa baiskeli aliiba ya nini???
 
6/Soapy Smith
29686da3e0c57aa93065845008eaee1b.jpg
cbcacb41f9ff2c8988f95345448a0613.jpg
Alizaliwa nchini Marekani 1860
Alikuwa ni msanii,tapeli na pia alimiliki genge lililokuwa lokijihusisha na Organised Crimes nchini humo
Alikuwa maarufu kwa kuanzisha "tripe and keister" katika kona zenye msongamano mkubwa wa watu mtaani na na kuuza keki za sabuni(keki feki) na kukusanya makumi kwa mamia ya watu kisha kuanza ujanjaujanja ila mwisho wa siku aliondoka na mpunga mrefu kwa kitapeli
.......
 
8/James Hogue
67be2789e4552cab582b436088600ae9.jpg
2230942663ce90a2d55ae425f442b61a.jpg
Alizaliwa 1959
Huyu bwana alifanya udanganyifu wa vyeti ili asome Princeton University kama alichofanya Daudi Bashite huku bongo ila huyu mzungu ndo kiboko
Kwanza kabisa alitengeneza/iba vyeti vya marehemu wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari huko Nevada kisha akajifanya pia ni yatima kwa vyeti vingine na kufanikiwa kugusa "Mlimani" tena kwa kusoma km yatima na hivyo kupiga assist sehemu kibao ila mwaka wa kwanza tu akaharibu baada ya kuiba baiskeli
Ila mwisho wa Siku utambulisho wake halisi ukagundulika mwaka 1991
......
Duh!
 
7/Eduardo de Valfierno
d5e8ff95cc4c660e50716ac7728dcf4a.jpg
b33e3ace6487a1e6e5e16bba2cf100d9.jpg

Huyu ni tapeli wa Kiargentina
Huyu bwana ndo aliyefanikisha kuibwa kwa picha ya Monalisa
Alijifanya Marquis na kutafuta watu na kuwalipa kisha wakaiba picha ikiwa Makumbusho mwaka 1921
Baada ya aliyemtuma kuiba na kusepa huyu jamaa akala kamisheni na watunzaji na kutoa kopi 6 za picha hiyo
Na msala ulikuwa mrefu kiasi Ni ngumu juuelezea wote
.......
Huyu mlatino nae ni kiboko kabisa kwanza mwizi halafu pia anajua ku-assist
Maana aliiba picha kisha aka assit vile vile
 
6/Soapy Smith
29686da3e0c57aa93065845008eaee1b.jpg
cbcacb41f9ff2c8988f95345448a0613.jpg
Alizaliwa nchini Marekani 1860
Alikuwa ni msanii,tapeli na pia alimiliki genge lililokuwa lokijihusisha na Organised Crimes nchini humo
Alikuwa maarufu kwa kuanzisha "tripe and keister" katika kona zenye msongamano mkubwa wa watu mtaani na na kuuza keki za sabuni(keki feki) na kukusanya makumi kwa mamia ya watu kisha kuanza ujanjaujanja ila mwisho wa siku aliondoka na mpunga mrefu kwa kitapeli
.......
Hahahahaha hizo Kwani keki ina gharama gani hata mtu utengeneze feki?? Huyu alitakiwa hata kufungwa maisha
 
5/George Parker
861586097424e70ca54101e49023519b.jpg
c88ddad90da59977ee0566d0b815f543.jpg

Alizaliwa 1870
Huyu ni Rainyundo katika historia nchini Marekani ....alifanikiwa hadi kuwatapeli watalii kwa kuwauzia mji(ardhi) ya jiji la New York
Hakuishia hapo, alifanikiwa kuliuza Brooklyn Bridge mara mbili kwa wiki kwa miaka kadhaa
Alifanikiwa kuwatapeli watu kibao pia kwa kuwauzia Madison Square Garden na utapeli kibao ambao naweza kujaza page nzima hapa
Huyu kwangu Ndo mpiga assist japo matapeli wanatogautiana
......
 
5/George Parker
861586097424e70ca54101e49023519b.jpg
c88ddad90da59977ee0566d0b815f543.jpg

Alizaliwa 1870
Huyu ni Rainyundo katika historia nchini Marekani ....alifanikiwa hadi kuwatapeli watalii kwa kuwauzia mji(ardhi) ya jiji la New York
Hakuishia hapo, alifanikiwa kuliuza Brooklyn Bridge mara mbili kwa wiki kwa miaka kadhaa
Alifanikiwa kuwatapeli watu kibao pia kwa kuwauzia Madison Square Garden na utapeli kibao ambao naweza kujaza page nzima hapa
Huyu kwangu Ndo mpiga assist japo matapeli wanatogautiana
......
Alivyo na macho mazuri sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom