BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hongera kujitegemea seychelles1976 - Seychelles ambacho ni muunganiko wa visiwa katika bahari ya indi inaanza kujitegemea baada ya kutawaliwa kwa takribani miaka 102 na Waingereza
Hongera kujitegemea seychelles1976 - Seychelles ambacho ni muunganiko wa visiwa katika bahari ya indi inaanza kujitegemea baada ya kutawaliwa kwa takribani miaka 102 na Waingereza
I see1881- New Zealand inapitisha sheria ya kuzuia Wajapani kuingia nchini mwao
HBD Clifford Campbell1892- Clifford Campbell anazaliwa kule Petersfield westmoreland ..
Alikuwa mtu wa kwanza kushika wadhifa wa juu ngazi ya Gavana nchi Jamaica
HBD Henry VIIILeo anazaliwa Henry VIII -alikuwa king of England aliyeishi kati ya miaka 1491-1547
Sirudishi tena ile avatar
....
UMETISHA LEE FANI UTAIMUDU HADI MUSSO ARUDILeo katika historia ...nimevamia fani
KaribuTOP TEN
Umewahi kuombwa assist na msrla aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee kama mimi
......Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujaujanja umemponza na ndo mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu awe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....Wazee wengine wa kupiga assist humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi mbichi,Kelvin Isisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye James Rugamalira,Andrew Change,Rostam Aziz na Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tu
Tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu kupora
Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
NB:
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
Karibuni
......
Una hati ya nyumba??NAOMBENI ASSIST YENU JAMANI YA 50K NITARUDISHA WIKI IJAYO..
SIRIAZ
Hii ya leo imeendana na hali halisi ya maisha ya JF msimu huuTOP TEN
Umewahi kuombwa assist na msrla aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee kama mimi
......Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujaujanja umemponza na ndo mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu awe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....Wazee wengine wa kupiga assist humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi mbichi,Kelvin Isisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye James Rugamalira,Andrew Change,Rostam Aziz na Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tu
Tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu kupora
Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
NB:
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
Karibuni
......
The real definition ya tapeli ndio hii... Huyu nae alikuwa mwanaume wa nguvu maana sio kwa assist hii10/Bernard Cornfield
Alizaliwa mwaka 1927![]()
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
I see10/Bernard Cornfield
Alizaliwa mwaka 1927![]()
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
Naona sanaWee umeona ee
Aisee10/Bernard Cornfield
Alizaliwa mwaka 1927![]()
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
Tulia huyo yupoKuna yule aliye uza mara mbili mnara wa Effel nimemsahau jina na yy alikua mjanjamjanja kama mzee wa Assist ..
Tulia huyo yupo
......
Ama kweli wajinga ndio waliwao9/Robert Hendy--Freegard
Ni muingereza aliyezaliwa mwaka 1971![]()
Huyu jamaa aliwapiga Waingereza wengi assist kwa kujifanya ni jasusi wa M15 Scotland Yard yaani tuseme sawa na mbongo ajifanye ni Mwanausalama wa Taifa
Jamaa alikuwa anafanya biashara ya kuuza magari na kutumia mwanga huo kukutana na wateja kisha kuwa tapeli kwa kujifanya ni mtu wa M15 Scotland Yard
Hakuishia hapo tu alitafuta hadi demu wa kujifanya mkewe na kupiga pesa kimagumashi
Alinaswa mwaka 2002 baada ya Scotland Yard kushirikiana na FBI kumsaka na kumtia mbaroni na kuwa maarufu ghafla kama Rainyundo
......
Kumbe wapo wengiKuna yule aliye uza mara mbili mnara wa Effel nimemsahau jina na yy alikua mjanjamjanja kama mzee wa Assist ..