Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Umewahi kuombwa assist na msrla aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee kama mimi
......Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujaujanja umemponza na ndo mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu awe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....Wazee wengine wa kupiga assist humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi mbichi,Kelvin Isisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye James Rugamalira,Andrew Change,Rostam Aziz na Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tu
Tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu kupora


Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
NB:
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
Karibuni
......
Karibu
 
TOP TEN
Umewahi kuombwa assist na msrla aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee kama mimi
......Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujaujanja umemponza na ndo mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu awe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....Wazee wengine wa kupiga assist humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi mbichi,Kelvin Isisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye James Rugamalira,Andrew Change,Rostam Aziz na Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tu
Tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu kupora


Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
NB:
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
Karibuni
......
Hii ya leo imeendana na hali halisi ya maisha ya JF msimu huu
 
10/Bernard Cornfield
104559050f80cdcb46200dc598138f15.jpg
8428263fba48feb9841c617164bb96a9.jpg
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
 
10/Bernard Cornfield
104559050f80cdcb46200dc598138f15.jpg
8428263fba48feb9841c617164bb96a9.jpg
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
The real definition ya tapeli ndio hii... Huyu nae alikuwa mwanaume wa nguvu maana sio kwa assist hii
 
10/Bernard Cornfield
104559050f80cdcb46200dc598138f15.jpg
8428263fba48feb9841c617164bb96a9.jpg
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
I see
 
10/Bernard Cornfield
104559050f80cdcb46200dc598138f15.jpg
8428263fba48feb9841c617164bb96a9.jpg
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndo akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengemarafik......i Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungwa kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa Siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
.......
Aisee
 
9/Robert Hendy--Freegard
d05a42fdd9364aba04a5fb23aee3ee96.jpg
4c7346e0af3c9e0598b85ef2b39b97ca.jpg
Ni muingereza aliyezaliwa mwaka 1971
Huyu jamaa aliwapiga Waingereza wengi assist kwa kujifanya ni jasusi wa M15 Scotland Yard yaani tuseme sawa na mbongo ajifanye ni Mwanausalama wa Taifa
Jamaa alikuwa anafanya biashara ya kuuza magari na kutumia mwanga huo kukutana na wateja kisha kuwa tapeli kwa kujifanya ni mtu wa M15 Scotland Yard
Hakuishia hapo tu alitafuta hadi demu wa kujifanya mkewe na kupiga pesa kimagumashi
Alinaswa mwaka 2002 baada ya Scotland Yard kushirikiana na FBI kumsaka na kumtia mbaroni na kuwa maarufu ghafla kama Rainyundo
......
 
9/Robert Hendy--Freegard
d05a42fdd9364aba04a5fb23aee3ee96.jpg
4c7346e0af3c9e0598b85ef2b39b97ca.jpg
Ni muingereza aliyezaliwa mwaka 1971
Huyu jamaa aliwapiga Waingereza wengi assist kwa kujifanya ni jasusi wa M15 Scotland Yard yaani tuseme sawa na mbongo ajifanye ni Mwanausalama wa Taifa
Jamaa alikuwa anafanya biashara ya kuuza magari na kutumia mwanga huo kukutana na wateja kisha kuwa tapeli kwa kujifanya ni mtu wa M15 Scotland Yard
Hakuishia hapo tu alitafuta hadi demu wa kujifanya mkewe na kupiga pesa kimagumashi
Alinaswa mwaka 2002 baada ya Scotland Yard kushirikiana na FBI kumsaka na kumtia mbaroni na kuwa maarufu ghafla kama Rainyundo
......
Ama kweli wajinga ndio waliwao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom